Hii idadi ndogo inatokana pia na mfumo dume na ukandamizwaji wa wanawake katika dini hiyo. Yani mwanamke anaonekana hana haki ya kuongoza wanaume hata wanae wa kuzaa.
Hii idadi ndogo inatokana pia na mfumo dume na ukandamizwaji wa wanawake katika dini hiyo. Yani mwanamke anaonekana hana haki ya kuongoza wanaume hata wanae wa kuzaa.
Habarini wapenzi, naomba mnisaidie.
Kwa mujibu wa sheria kama wazazi wametengana na watoto akapewa mama awalee. Je, iwapo mama amebadili dini baada ya ndoa kuvunjika
(1) ni kosa kisheria?
(2) Na je kwa sababu hiyo mahakama inaweza kumnyang'anya mama mtoto?
(3) Ni sahihi kwa mtoto kupelekwa kwa...
Kwanini atoe mimba aue? Kama meshaamu kuzini mpk kubeba mimba ni aheri tuu ukubali hakua ubavu wako, na kama unaona huwezi kumuacha basi ishi naye lakini usiue kiumbe kilichopo tumboni. Uwalee wote mama na mtoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.