Nyie pigeni domo amepataje msifanye kazi endelea kuchati kwenye JF kuwafuatilia wenzako usifanye kazi. Endelea kuweka ubongo kwenye boksi mwisho wa siku utaambulia kuuliza kwa walionayo amepataje.
Sisi tnamjua raisi wa tanzania atatoka miongoni mwa watakaochukua fomu. Nikimaanisha kuwa watachukua fomu watapitishwa wote na kamati kuu halafu watakuja hadi Halmashauri kuu ndipo wapigiwe kura na halmashauri kuu, atakayepata kura nyingi ndiye atakayekuwa rais wa nchi. Acheni viherehere na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.