Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Lowassa ana ugonjwa menengitis,shingo imekakamaa sana kama vile ana stroke....
Wewe umejuaje kahonga 50m? toa ushahidi
Ukiwaweka Membe na El kwenye hard talk hapo ndio utagundua who is a brain
Membe hajafanya kampeni ila katoa nondo zimeenda shule sio mchezo angekua Lowasa tungepata aibu tu
Tatizo la Membe ana kiherehere! Yeye na Lowasa wanajihisi kama wao ndiyo wameumbwa ili wawe marais wa Tanzania..!Nape Nnauye ajitokeze kukemea kitendo cha Mbunge wa jimbo la Mtama kuanza kampeni za urais kabla ya wakati kinyume kabisa na utaratibu wa chama ulivyo.
1. Kwa haraka ya kutaka kukimbilia ikulu, Membe amefikia hatua ya kuingilia idara za viongozi husika ndani ya chama. Mfano Membe Leo ameshiriki kongamano la vijana (CHINA-AFRIKA) lililoandaliwa na UVCCM na CPC Youth League. Muhusika wa hii idara ni Mama Asha Rose Migiro linalofanyika Ngurudoto.
Hiki ni kinyume kabisa na utaratibu, sheria, kanuni na katiba ya CCM. Tunataka Nape ajitokeze kulikemea hili.
2. Kesho Jumapili Membe anakuwa mgeni rasmi kwenye mahafari ya shule za Tumaini kule Tabata.
Pia anakuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 15 ya Tamasha za nyimbo za injili linaloandaliwa na Msama. Huko kote Membe amehonga jumla ya Milioni 50 ili aalikwe.
Huku ni kuanza kampeni kabla ya wakati kwani wenye akili timamu tunajiuliza kwani ahonge ili awe mgeni rasmi haswa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu?
Narudia tena, Kutaka kusikia domo la Nape likifunguka kukemea kitendo hichi cha Membe kuanza kampeni za urais kabla ya wakati.
Tofauti na hapo tutajua Nape , CCM kwa ujumla tayari wana mgombea wao wa urais na wanataka kuwachagulia kwa nguvu Membe awe Rais.
Kuwa mpole uo uzi wa 2015 tu watu wameufufa kuonyesha Membe alivyo na kiherehere cha UraisIyo ndio kazi ya mbunge?
Tuanzie hapo kwanza
Amkemee kafanya nini?Nape Nnauye ajitokeze kukemea kitendo cha Mbunge wa jimbo la Mtama kuanza kampeni za urais kabla ya wakati kinyume kabisa na utaratibu wa chama ulivyo.
1. Kwa haraka ya kutaka kukimbilia ikulu, Membe amefikia hatua ya kuingilia idara za viongozi husika ndani ya chama. Mfano Membe Leo ameshiriki kongamano la vijana (CHINA-AFRIKA) lililoandaliwa na UVCCM na CPC Youth League. Muhusika wa hii idara ni Mama Asha Rose Migiro linalofanyika Ngurudoto.
Hiki ni kinyume kabisa na utaratibu, sheria, kanuni na katiba ya CCM. Tunataka Nape ajitokeze kulikemea hili.
2. Kesho Jumapili Membe anakuwa mgeni rasmi kwenye mahafari ya shule za Tumaini kule Tabata.
Pia anakuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 15 ya Tamasha za nyimbo za injili linaloandaliwa na Msama. Huko kote Membe amehonga jumla ya Milioni 50 ili aalikwe.
Huku ni kuanza kampeni kabla ya wakati kwani wenye akili timamu tunajiuliza kwani ahonge ili awe mgeni rasmi haswa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu?
Narudia tena, Kutaka kusikia domo la Nape likifunguka kukemea kitendo hichi cha Membe kuanza kampeni za urais kabla ya wakati.
Tofauti na hapo tutajua Nape , CCM kwa ujumla tayari wana mgombea wao wa urais na wanataka kuwachagulia kwa nguvu Membe awe Rais.
Hiyo zamani Mzee Baba...Nape akiwa ni katibu mwenezi.uzi wa 2015 huuMleta mada anatuambia Nape amkemee maembe.