Sijajenga Ghorofa, lakini Jiji kama Nairobi linanifanya nihisi ujenzi wa Ghorofa si Gharama sana. Maana Ghorofa zinajengwa kwa kasi kama tunavyojenga Frame za biashara bongo.
Huwa sielewi kinashindikana nini. Kenya unakuta Jengo moja linawapangaji 100 Lakini kila mpangaji anaweza umeme kivyake na anameter yake.
Ndio maana ukichelewa kulipa rent caretaker anakuzimia umeme nyumba yako tu.
Uzi mzuri. Kuna vitu naomba niulize;
Issue ya umeme kwa wapangaji wengi unakabiliana nayo vipi?
Utaratibu wa kulipa deposit upoje kwa Tanzania? Je, ni hauruhusiwi au ni tumeamua tu, maana kukiwa na deposit na kodi kulipwa kwa kipindi kifupi kifupi inasaidia nyumba kutochakaa.
Asante!
Thread 'Lema: Tukiruhusiwa tutatumia mfumo wa sarafu za kidijitali (cryptocurrency) ili kuweza kukusanya michango ya mkakati wa Tone Tone'
Pre GE2025 - Lema: Tukiruhusiwa tutatumia mfumo wa sarafu za kidijitali (cryptocurrency) ili kuweza kukusanya michango ya mkakati wa Tone Tone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.