Habari wana JF,
Naomba kuuliza hili, Kuna hii issues ya Walimu walioanza kazi mwaka Moja kutofautiana madaraja. Unakuta mwingine yuko daraja E na mwingine yuko F.
Unakuta baadhi ya Halmashauri walimu wanapanda kwa wakati lakini zingine wanakaa miaka 5 hawajapandishwa.
Je, walimu walioanza...
Habari if! Naomba mwenye kumjua fundi makini wa kuniwekea fog lights kwenye gari yangu Toyota axio kwa Dar au Arusha , mkinifahamisha pia gharama nitashukuru , fog lights za round ( HID bulbs)
Nataka kuagiza gari Japan Toyota premio ya mwaka 2005/2006.Naombeni kwa wenye uzoefu wa kuagiza gari from Japan, Je ni kampuni ipi ni waaminifu ! Je what if umetuma hela then baada ya hapo unayefanya naye biashara amekata mawasiliano.
Kuna hii kampuni inaitwa Trust Japanese Vehicles.com ikoje...
Habari wanajf!! Naombeni ushauri na maelekezo, nataka kununua gari IST new model ya 2007/2008 au rava 4 sijui niite model gani! hizi ambazo hazijaandikwa 'rava4 L wala rava4 J' imeandikwa tu rava4 nadhani new model wazoefu WA magari watakuwa wamenielewa .Nataka kujua tofauti za gharama kwa...
Habari wanajf! Naomba ushauri kwa yeyote mwenye experience juu ya mikopo ya wafanyakazi kutoka kwenye mabenki yetu hapa nchini, ni benki gani inatoa mikopo mizuri (hela kubwa kidogo na riba nafuu) kwa mfanyakazi mwenye basic salary ya 520000 hiv, anaweza kupewa mkopo kiasi gani .Natanguliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.