Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,593
Story yake ndio tatizo ajaweka wazi kwamba ela anataka kufanyia nini... na kama umeelewa huyu mtu hafai kuwa kwenye ndoa manake uwez lalamika eti mume anachukua mshahara wako... ni ubinafsi tuHiyobiashara ambayo yeye haijui!