Recent content by Lee jumong

  1. L

    Kwa kauli ya Rais 'Hata mimi mshahara haunitoshi', watumishi tuandike tena maumivu mwaka huu

    Inategemea takehome ipo kiasi gani unataka uchukue 20m kwa mshahara wa 700k umepotea Sent using Jamii Forums mobile app
  2. L

    Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

    Mtoto wangu wa 2 ana mwaka sahv ameacha kunyonya tangu akiwa na miezi 7 anapiga msosi bila shida ila ucku njaa ikimshika hata kama ni saa 8 kama hamkubakiza uji kwenye chupa mtapika anashika kitandani uelekeo jikoni Sent using Jamii Forums mobile app
  3. L

    Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

    Dah hongereni akina baba kwa upendo wetu kwa watoto mimi ni baba wa watoto 2 kila mmoja ana vituko vyake huyu mkubwa sahv nikimuahidi kitu tu kila unikigeuka tu ninae watoto wangu wanaenjoy sana ninapotoka nao matembezini hasa ya mjini hawataki kuongozana na mama yao na nilishajuaga sababu mama...
  4. L

    Barabara ya kutokea Rusumo haipitiki kwa siku mbili sasa

    Nyabugombe,ngazi saba,Rusahunga,mizani,zero zero,benako,machinjioni hii barabara nimeipita sana 2013/14 kama haikufanyiwa marekebisho itakuwa na makorongo cyo mashimo maana ilikuwaga imechoka hatari Sent using Jamii Forums mobile app
  5. L

    Watoto wa wapiga kura wanakosoma VS Watoto wa wapigiwa kura wanakosoma

    Wewe ni maskini ambaye ni tatizo kwa wanao usipojitambua utawatesa wanao na wajukuu juhudi zako ndio mafanikio ya wanao na familia zao Sent using Jamii Forums mobile app
  6. L

    Watoto wa wapiga kura wanakosoma VS Watoto wa wapigiwa kura wanakosoma

    Kuna msemo wanausema vijana wenzetu siku hizi "Nanukuu" KUISHI MASKINI NI UJINGA/UVIVU WA BABA AKO/ILA KUISHI MASIKINI NI UJINGA WAKO NA MATESO KWA WANAO" Mwisho wa kunukuu ni tusi kubwa sana ila ndio ukweli muombe Mungu lisikukute ukiwa mzazi ila ndio jibu pigia mstari Sent using Jamii Forums...
  7. L

    Watoto wa wapiga kura wanakosoma VS Watoto wa wapigiwa kura wanakosoma

    Siwezi kumlaumu Baba yangu amejitahidi alipofikia japo hakutimiza wajibu wake hakutambua nini kinachofuata mbele yake nadhani angetusomesha wote kwa kujinyima na kuchukia umaskini huenda sasa hv angekuwa anakula matunda murua aliyoyahangaikia kwa jasho Sent using Jamii Forums mobile app
  8. L

    Watoto wa wapiga kura wanakosoma VS Watoto wa wapigiwa kura wanakosoma

    Sometime msilaumu sana kuna mambo mengi sana yanachangia hvyo usitegemee mwenye kipato cha juu akampeleka mwanae kayumba tulizosoma sisi hata mimi sitampeleka mwanangu kayumba niliyosoma mimi kwa sababu sikupenda maisha yale chukia kitu ambacho hukukipenda ukiwa mdogo kwa mwanao Sent using...
  9. L

    Hivi vitambulisho vya Askari/ Wanajeshi vina kazi gani kwa raia?

    Kiutaratibu askari anapokuwa na uniform na yupo kituoni akisubiri usafiri akipanda gari huwa hatoi nauli maana yupo kwaajili ya usalama wa chochote kitakachotokea yeye ndio anakuwa mlengwa namba moja na kwa kawaida kama ni gari ya abiria inayofanya ruti ndani ya mkoa hapaswi kulipa nauli ila si...
  10. L

    Kijana usijidanganye: Shoo peke yake haitoshi kukufanya usiachwe

    Joke! Hata Mungu mwenyewe wakati anamuumba hawa alimsikilizia adamu ameuchapa usingizi unadhani kwa akili yako angekuwa macho angekubali amletewe hawa aliyemletewa angemwambia Mungu sifa kibao za mwanamke anaemtaka kibongo bongo angesema awe na sifa zifuatazo:. Awena chura. Awe mweupe rangi ya...
  11. L

    Ndege inatunguliwaje wakati huwa juu futi 33,000 kwa speed ya 900km/hr ?

    Kuna fyuz maalumu ambazo huwa zimefungwa kwenye makombora au mabomu ya kudungulia ndege mara nyingi huwa ni pacation fyuz hufuata mlio au moshi wa ndge hasa linaporushwa uelekeo wa ndege inapopita na huwa na speed kubwa kuliko ndege yenyewe iwe ndge vita au abiria Sent using Jamii Forums mobile app
  12. L

    Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

    Me mpaka leo huwa nikikumbuka huwa machozi yanakaribia kunilenga ilikuwa hv cku hiyo ilikuwa jmosi huwa ni siku ya mnada ilikuwa mida ya saa 2 kasoro kulikuwa na mbalamwezi imeangaza sana kiasi cha kuweza kumjua mtu ambaye yupo umbali wa 50m ile ya kama jua la saa 4-5 hv tupo watatu kuna sehemu...
  13. L

    Mke wa rubani wa ndege ya Ukraine iliyoanguka nchini Iran, alimuonya mumewe kutosafiri siku ile

    Kudungua ndege hakuna ufundi yale makombora huwa na fyuz maalum zinazofuata mlio au moshi wa ndege ni kitu cha batan tu Sent using Jamii Forums mobile app
  14. L

    Hivi inakuwaje kwenye kila familia kuna mtu mmoja anayesumbua sana?

    Ni kawaida kwa kila familia nyingi ziwe za kitanzania au huko mbele familia inapokuwa na watoto zaidi ya 2 huwa kuna aidha mmoja kuwa msumbufu,mtukutu,na kivuruge hatari sana au ikawa kinyume 1 akawa vzr wengine chenga na kila familia ya hvyo mmoja huwa na mafanikio au elimu au wanaweza wakasoma...
  15. L

    Unga kilo shilingi 2,200, Serikali iingilie kati

    Wakulima pia wananufaika acha wale walichopanda ukiona pamoto kula chapati za unga wa bakhresa na azania maji ya baharini yana chunvi supu tosha Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom