Recent content by LeBron TZ

  1. LeBron TZ

    JamiiForums Tanzania Bora tunakufa, Maana maisha yamekuwa bored. (yanakinaisha)

    Daa pole sana. Kwa nini ufikirie kufa? Una hitaji msaada wa kitaalamu kisaikolojia. Maisha ni matamu sana ukiyaangalia kwa utamu wake, experiences unazioona zina boa hizo hizo unatakiwa uziangalie kivingine, marafiki uliokua nao jana mka enjoy, fikiria unaweza ku enjoy nao tena kwa namna gani...
  2. LeBron TZ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu ananipa laki 5 kila mwezi mama anadai hazitoshi nirudiane na x wangu

    Umasikini ni kitu kibaya sana. Unapo kuwa masikini ni kama vile na utu wako unaondoka.
  3. LeBron TZ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania She said "We should not do this mission missionary"

    Daaaamn:CarltonPls:
  4. LeBron TZ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KUWA MAKINI unaposhoboka na wanawake barabarani!

    Huyo mchina hana makosa, kavutiwa na mtu bila kujua ni mke wa mtu. Huyo mke ndio anashida, angesema na asingetoa namba.
  5. LeBron TZ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii fantasy kuhusu matamanio haya ipo kwangu tu au nina shida kisaikolojia

    Hii yako mbona ya kawaida sana, asilimia kubwa wanaume tunavutiwa zaidi na wanawake walio nusu uchi kuliko walio uchi kabisa. Sisi wengine fetish zetu hadi zina chekesha. Na sitaoa mwanamke ambaye hataweza itimiza hii yangu. Nitatembea nao mpaka nimpate muhusika.
  6. LeBron TZ

    JamiiForums Tanzania Mtazamo korofi: Mwanamume kufuatilia tamthilia naona kama haijakaa sawa hivi

    Kugombea remote na mtoto au mke wako sio sawa kabisa. Maisha sasa hivi yamekua tofauti sana na zamani, TV imekua kitu kidogo sana na cha kawaida, hivyo baba mwenye kupenda kuangalia tv sio mbaya ukaweka tv yako chumbani kuangalia vipindi vyako unavyotaka kwa muda utakao taka. Ila pia maisha ni...
  7. LeBron TZ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kupumua(kujamba) mbele ya mpenzi wako, hii ikoje?

    Mimi bwana huwa nafurahia sana mwanamke wangu akijamba mbele yangu. Ila niwe mimi na yeye tu, sio mbele za watu wengine.
  8. LeBron TZ

    JamiiForums Tanzania Mtu Mwenye miaka 35 ni Kijana?

    Young adult (18-25 age), Adult (26-44 age), Middle-age (45-59 age), Old age (60 and above) Mzee anaanzia miaka 60.
  9. LeBron TZ

    JamiiForums Tanzania Simba na Yanga warudiane

    Yaani, hao sasa ndio Simba halisi. Wanajikutaga sana, alaf hamna kitu.
  10. LeBron TZ

    JamiiForums Tanzania Dunia iliishia 1999

    Ni vitu gani vinavyoweza ku prove hii theory?
  11. LeBron TZ

    JamiiForums Tanzania Dunia iliishia 1999

    Hao aliens wao wanapata au kufaidika nini for taking all that trouble ya kutufanya tuone kama tunaendelea kuishi?
  12. LeBron TZ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unawezaje kuishi na mwanamke anayejamba jamba ovyo?

    Wengine tunapenda wanawake wanaojamba jamani. There is nothing sexy kama ushuzi wa mwanamke wako,
  13. LeBron TZ

    JamiiForums Tanzania Picha: Kuwa makini na bidhaa za online

    Mimi ni mtumiaji mzuri sana wa bidhaa za online. Kusema kweli sijawahi kupata tofauti na nilichoagiza. Sikatai kwamba online kuna vitu visivyofaa, hapana, ila we mwenyewe jiongeze sometime. Mfano unajua kabisa iphone labda ni milioni tatu, we unaipata kwa elf 90 online, jiulize hapo hiyo ni...
  14. LeBron TZ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

    Pole mkuu, ninaamini mpaka umeamua kumuoa huyo umempenda, unasema umekurupuka lakini sio kweli. Hayo makasiriko na kupungua upendo ni kwa sababu vitu vimekua tofauti na ulivyopanga au kutarajia. Kaa nae, ongea nae kwa upendo mweleweshe ni nini unatarajia kutoka kwake. Huyo ni mke wako...
  15. LeBron TZ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anapost wanaume walionunua magari na chattings zao status wakati mimi niko kwenye hali ngumu kiuchumi

    Huyo mwanaume aliyepostiwa ana uhusiano gani na mke wako? Ongea na mke wako vizur muoneshe jinsi ulivyojisikia kwa yeye kumpost huyo mwanaume. Huna haja ya kumueleza uliyoyasikia kwa rafiki zake kuwa yeye anapost wenye magari wakati wewe huna.
Back
Top Bottom