Daa pole sana. Kwa nini ufikirie kufa?
Una hitaji msaada wa kitaalamu kisaikolojia.
Maisha ni matamu sana ukiyaangalia kwa utamu wake, experiences unazioona zina boa hizo hizo unatakiwa uziangalie kivingine, marafiki uliokua nao jana mka enjoy, fikiria unaweza ku enjoy nao tena kwa namna gani...
Hii yako mbona ya kawaida sana, asilimia kubwa wanaume tunavutiwa zaidi na wanawake walio nusu uchi kuliko walio uchi kabisa.
Sisi wengine fetish zetu hadi zina chekesha. Na sitaoa mwanamke ambaye hataweza itimiza hii yangu. Nitatembea nao mpaka nimpate muhusika.
Kugombea remote na mtoto au mke wako sio sawa kabisa. Maisha sasa hivi yamekua tofauti sana na zamani, TV imekua kitu kidogo sana na cha kawaida, hivyo baba mwenye kupenda kuangalia tv sio mbaya ukaweka tv yako chumbani kuangalia vipindi vyako unavyotaka kwa muda utakao taka.
Ila pia maisha ni...
Mimi ni mtumiaji mzuri sana wa bidhaa za online. Kusema kweli sijawahi kupata tofauti na nilichoagiza.
Sikatai kwamba online kuna vitu visivyofaa, hapana, ila we mwenyewe jiongeze sometime. Mfano unajua kabisa iphone labda ni milioni tatu, we unaipata kwa elf 90 online, jiulize hapo hiyo ni...
Pole mkuu, ninaamini mpaka umeamua kumuoa huyo umempenda, unasema umekurupuka lakini sio kweli. Hayo makasiriko na kupungua upendo ni kwa sababu vitu vimekua tofauti na ulivyopanga au kutarajia.
Kaa nae, ongea nae kwa upendo mweleweshe ni nini unatarajia kutoka kwake. Huyo ni mke wako...
Huyo mwanaume aliyepostiwa ana uhusiano gani na mke wako?
Ongea na mke wako vizur muoneshe jinsi ulivyojisikia kwa yeye kumpost huyo mwanaume. Huna haja ya kumueleza uliyoyasikia kwa rafiki zake kuwa yeye anapost wenye magari wakati wewe huna.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.