Recent content by lebraza

  1. L

    Nataka Rais Magufuli ashindwe

    Aiseeee....!!!
  2. L

    Mwigamba: Nakuhurumia Zitto Kabwe

    Muda ni mwalimu mzuri sana!
  3. L

    Kubana Matumizi: Baraza la Mawaziri na mlo wa "Chips Mayai"

    Chips mayai huku kuna Land Cruiser V8 zinanguruma nje zinanyonya wese?!! Huu ni upotoshaji na usanii MTUPU.......Huwezi bana matumizi kwenye chips!!
  4. L

    CCM wanatuchezea akili "mind games"

    Mikataba ya madini walisaini wao...... Sheria za madini walipitisha wao kupitia hati ya dharura na kura za NDIOOOO.... Wapinzani walipiga kelele miaka nenda rudi ila walionekana wapuuzi.... Hata sisi wananchi tulipohoji hatukusikilizwa... Haya yote tunayosikia leo ni kwa sababu ya CCM. Halafu...
  5. L

    Tanzanian Government Accuses Acacia of Mining Gold Illegally

    Nakubaliana na wewe mkuu, nakumbuka hata kampuni ya simu "Airtel" mpaka 2013 ilikuwa inajulikana kama Celtel huko BRELA(Celtel-->Zain--->Airtel). Sina hakika kama ilibadilishwa ama laa, sasa unaweza kusema Airtel ina operate illegally?!!
  6. L

    Spending So Much Kwenye Muungano: Does This Justify Tulipofuta Uhuru Just To Save ?!.

    Na kuipeleka sherehe hii Dodoma nadhani cost imekua kubwa zaidi.
  7. L

    Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

    Hivi Mahakama ya Mafisadi haipo? Apeleke ushahidi wote huko fisadi akafungwe......
  8. L

    Rais Magufuli chukua hatua kwa Makonda

    Kama yeye ndiye anaemtuma??? hahaha....unahitaji nini kung'amua hilo?
  9. L

    Hivi huyu Mkumbo ni nani hadi anateuliwa?Alikuwa Muhadhiri,Mwanasiasa, Mtumishi wa Umma au Vyote?

    Ila inafikirisha sana, mtumishi wa umma halafu anashiriki siasa huku sheria ipo clear kabisa juu ya utumishi wa umma na siasa!
  10. L

    Lowassa turudishie maji yetu ya mto Themi

    Daraja II,!!
Back
Top Bottom