Mikataba ya madini walisaini wao......
Sheria za madini walipitisha wao kupitia hati ya dharura na kura za NDIOOOO....
Wapinzani walipiga kelele miaka nenda rudi ila walionekana wapuuzi....
Hata sisi wananchi tulipohoji hatukusikilizwa...
Haya yote tunayosikia leo ni kwa sababu ya CCM.
Halafu...
Nakubaliana na wewe mkuu, nakumbuka hata kampuni ya simu "Airtel" mpaka 2013 ilikuwa inajulikana kama Celtel huko BRELA(Celtel-->Zain--->Airtel). Sina hakika kama ilibadilishwa ama laa, sasa unaweza kusema Airtel ina operate illegally?!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.