Kama Tundu Lissu yupo tayari kunywa Juice ya Ikulu, amuombe radhi Rais kwa kumuita Dikteta

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Siku zote ukiwa mwongo usiwe msahaulifu. Nashangaa sana kuona jinsi Tundu Lissu na CHADEMA wanavyosahau kwa kasi licha ya kila siku kutumia propaganda za uzushi na uongo dhidi ya Serikali ya awamu ya Tano.

Nimesikia taarifa juu ya Tundu Lissu kumuandikia Barua Rais Magufuli ya kutaka kukutana naye Ikulu kwa Mgongo wa TLS. Tena ameenda mbali na kusema kwa tambo na majigambo kuwa Mkutano huo utakuwa baina ya Marais wawili.

Nimkumbushe Lissu kuwa Magufuli anayemuomba kukutana naye ni yule yule Dicteta Uchwara. Na moja ya sifa za Madikteta kote Ulimwenguni ni kutotoa nafasi ya majadiliano ya kidemokrasia. Udikteta na Demokrasia hazichangamani.

Rais Magufuli ni yule yule Rais wa Ajabu kuweza kutokea katika nchi yetu tangu tupate uhuru.

Rais Magufuli ni yuleyule kiongozi anayeminya uhuru na demokrasia ya wapinzani.

Rais Magufuli ni yule yule aliyedhalilisha hadhi ya Ikulu.

Moja ya Kampeni ya Lissu wakati anagombea TLS ni kukomesha kitendo cha Rais Magufuli kuwahutubia Wanasheria wakati wa Siku ya Sheria nchini kwa madai kuwa Magufuli hana hadhi ya kuongea na wasomi.

Yapo mengi ambayo Lissu amesema tena kwa jazba dhidi ya Rais wetu mpendwa. Nichukue fursa hii kumshauri Tundu Lissu. Kama anataka Juice ya Ikulu, ni vema akafuta kauli zake na kumuomba Radhi Rais Magufuli. Akishindwa kufanya hivyo ni vema akaendelea na msimamo wake juu ya Rais Magufuli. Unafiki haukubaliki.
 
Tundu Lisu ni kama amechanganyikiwa wananchi wa jimbo lake la Ikungi Singida wanateseka sana maji ya shida sana ameshindwa kuwasaidia anahangaika na mwaliko wa kuitwa Ikulu.....sijawahi kuona mbunge hopeless kama Tundu Lisu

e450acb6d5515ad4432d5d49ab7ff712.jpg
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Siku zote ukiwa mwongo usiwe msahaulifu. Nashangaa sana kuona jinsi Tundu Lissu na CHADEMA wanavyosahau kwa kasi licha ya kila siku kutumia propaganda za uzushi na uongo dhidi ya Serikali ya awamu ya Tano.

Nimesikia taarifa juu ya Tundu Lissu kumuandikia Barua Rais Magufuli ya kutaka kukutana naye Ikulu kwa Mgongo wa TLS. Tena ameenda mbali na kusema kwa tambo na majigambo kuwa Mkutano huo utakuwa baina ya Marais wawili.

Nimkumbushe Lissu kuwa Magufuli anayemuomba kukutana naye ni yule yule Dicteta Uchwara. Na moja ya sifa za Madikteta kote Ulimwenguni ni kutotoa nafasi ya majadiliano ya kidemokrasia. Udikteta na Demokrasia hazichangamani.

Rais Magufuli ni yule yule Rais wa Ajabu kuweza kutokea katika nchi yetu tangu tupate uhuru.

Rais Magufuli ni yuleyule kiongozi anayeminya uhuru na demokrasia ya wapinzani.

Rais Magufuli ni yule yule aliyedhalilisha hadhi ya Ikulu.

Moja ya Kampeni ya Lissu wakati anagombea TLS ni kukomesha kitendo cha Rais Magufuli kuwahutubia Wanasheria wakati wa Siku ya Sheria nchini kwa madai kuwa Magufuli hana hadhi ya kuongea na wasomi.

Yapo mengi ambayo Lissu amesema tena kwa jazba dhidi ya Rais wetu mpendwa. Nichukue fursa hii kumshauri Tundu Lissu. Kama anataka Juice ya Ikulu, ni vema akafuta kauli zake na kumuomba Radhi Rais Magufuli. Akishindwa kufanya hivyo ni vema akaendelea na msimamo wake juu ya Rais Magufuli. Unafiki haukubaliki.
Hivi wewe unafanya kazi wapi, maana kila nikija na ukifanya survey, simple survey unaona every minute unapost kitu humu!
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Siku zote ukiwa mwongo usiwe msahaulifu. Nashangaa sana kuona jinsi Tundu Lissu na CHADEMA wanavyosahau kwa kasi licha ya kila siku kutumia propaganda za uzushi na uongo dhidi ya Serikali ya awamu ya Tano.

Nimesikia taarifa juu ya Tundu Lissu kumuandikia Barua Rais Magufuli ya kutaka kukutana naye Ikulu kwa Mgongo wa TLS. Tena ameenda mbali na kusema kwa tambo na majigambo kuwa Mkutano huo utakuwa baina ya Marais wawili.

Nimkumbushe Lissu kuwa Magufuli anayemuomba kukutana naye ni yule yule Dicteta Uchwara. Na moja ya sifa za Madikteta kote Ulimwenguni ni kutotoa nafasi ya majadiliano ya kidemokrasia. Udikteta na Demokrasia hazichangamani.

Rais Magufuli ni yule yule Rais wa Ajabu kuweza kutokea katika nchi yetu tangu tupate uhuru.

Rais Magufuli ni yuleyule kiongozi anayeminya uhuru na demokrasia ya wapinzani.

Rais Magufuli ni yule yule aliyedhalilisha hadhi ya Ikulu.

Moja ya Kampeni ya Lissu wakati anagombea TLS ni kukomesha kitendo cha Rais Magufuli kuwahutubia Wanasheria wakati wa Siku ya Sheria nchini kwa madai kuwa Magufuli hana hadhi ya kuongea na wasomi.

Yapo mengi ambayo Lissu amesema tena kwa jazba dhidi ya Rais wetu mpendwa. Nichukue fursa hii kumshauri Tundu Lissu. Kama anataka Juice ya Ikulu, ni vema akafuta kauli zake na kumuomba Radhi Rais Magufuli. Akishindwa kufanya hivyo ni vema akaendelea na msimamo wake juu ya Rais Magufuli. Unafiki haukubaliki.
Uraisi ni taasisi siyo mtu, kwangu mimi nadhani hilo ni jambo muhimu litaloondoa tension ya kisiasa na kuleta mapambazuko mapya kwa Tanzania mpya ya watu wanaoishi kwa umoja na upendo bila kujali itikadi za vyama. Tanzania yenye watu huru wenye uwezo wa kukosoana na kunywa chai au bia pamoja. Siasa siyo ugomvi na usituaminishe hivyo.
 
Do
Wadau, amani iwe kwenu.

Siku zote ukiwa mwongo usiwe msahaulifu. Nashangaa sana kuona jinsi Tundu Lissu na CHADEMA wanavyosahau kwa kasi licha ya kila siku kutumia propaganda za uzushi na uongo dhidi ya Serikali ya awamu ya Tano.

Nimesikia taarifa juu ya Tundu Lissu kumuandikia Barua Rais Magufuli ya kutaka kukutana naye Ikulu kwa Mgongo wa TLS. Tena ameenda mbali na kusema kwa tambo na majigambo kuwa Mkutano huo utakuwa baina ya Marais wawili.

Nimkumbushe Lissu kuwa Magufuli anayemuomba kukutana naye ni yule yule Dicteta Uchwara. Na moja ya sifa za Madikteta kote Ulimwenguni ni kutotoa nafasi ya majadiliano ya kidemokrasia. Udikteta na Demokrasia hazichangamani.

Rais Magufuli ni yule yule Rais wa Ajabu kuweza kutokea katika nchi yetu tangu tupate uhuru.

Rais Magufuli ni yuleyule kiongozi anayeminya uhuru na demokrasia ya wapinzani.

Rais Magufuli ni yule yule aliyedhalilisha hadhi ya Ikulu.

Moja ya Kampeni ya Lissu wakati anagombea TLS ni kukomesha kitendo cha Rais Magufuli kuwahutubia Wanasheria wakati wa Siku ya Sheria nchini kwa madai kuwa Magufuli hana hadhi ya kuongea na wasomi.

Yapo mengi ambayo Lissu amesema tena kwa jazba dhidi ya Rais wetu mpendwa. Nichukue fursa hii kumshauri Tundu Lissu. Kama anataka Juice ya Ikulu, ni vema akafuta kauli zake na kumuomba Radhi Rais Magufuli. Akishindwa kufanya hivyo ni vema akaendelea na msimamo wake juu ya Rais Magufuli. Unafiki haukubaliki.
do u think calling someone a dictator stripes off the presidential title! Be conscious minded not narrowly thinking
 
Back
Top Bottom