Ni Disappointment kubwa sana hii. Watu tumekaa tunasubiri mkeka alafu wenyewe wanaita watu kimya kimya kweli. Kwann wasifuate utaratibu wao wa kutangaza mkeka kama ilivyokawaida. Kuna mtu alinijuza ya kwamba PSRS Wanadisappoint sana watu
Habari wakuu, nimeona taarifa kadhaa kwenye mtandao hasa kwenye page ya HabariLeo ya kwamba TRA wameshaita vijana kazini. Hii inaukweli wowote? Na kama ni kweli wanawezaje kuita kimya kimya bila kutoa pdf?
======
#HABARINJEMA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati...
Habari wakuu, poleni na majukumu. Siku ya leo nimeingia ajira portal na kukuta mabadiliko fulani nikashindwa kuelewa japo Hii ni mara yangu ya 7 kuomba kazi utumishi.
Kwa wale mliokuwa mkikubaliwa for oral interview, hivi ile sentence huwa inabadilika? Mfano kwenye picha nilizoambatanisha...
Habari waheshimiwa, nimeona kwenye gazeti la jana la mwananchi kuwa Rais ametoa ajira nyingine 2100 zaTRA. Nimeambatanisha vielelezo ikiwa ni pamoja na screenshot kutoka kwenye page ya millardayo post za jana gazeti la tarehe 12/02/2022.
Kisheria ni lazima ukubaliwe ila uwe na sababu kwanini hujaleta originals kwa mwajiri wako. Pili, nakushauri uwe na original maana siku ya written interview ni lazima uonyeshe original, bila hivyo hata kama unasababu ya msingi vp, hawatakubali uingie ndani ya chumba cha mtihani.
Sidhani kama ni hivyo. Guideline ya kucertify vyeti ipo miaka mingi. Kwanini usicertify vyeti ndo uviweke? Scenario imekaa hivi: utumish wanaamini ukicertify vyeti kwa mwanasheria/wakili vyeti hivyo ni original, wakiona hujacertify basi watakuwa na mashaka hata kama utawaonyesha original baadae...
Habari wakuu, habari za kushinda? Poleni na majukumu.
Siku ya leo nimeona post ya bbcswahil kuhusiana na almasi ya ajabu iitwayo enigma. Sasa nina jiwe kama hilo niliokota miaka 7 iliyopita. Najiuliza linaweza kuwa lenyewe au ni mfanano tu.
Naambatanisha picha ya bbcswahili pamoja na picha za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.