Recent content by leah2

  1. leah2

    Huu ni Uzi maalum wa kulaani matukio mabaya yanayotokea ndani na nje ya nchi yetu.

    Kwani laana zimekwisha? [emoji23][emoji23][emoji23]Au mwenda zake ameondoka nazo zote? Na alaaniwe aliyeanzisha tozo za miamala ya simu.. watu wote na waseme amina
  2. leah2

    Umbea na Kiherehere cha Kutangaza kuwa MO anajiondoa Simba wamtokea puani Mchambuzi Mnafiki Shaffih Dauda wa CMG

    Naona thimba hamna amani kabsai! Hiyo ndiyo shida ya kumtegemea mtu mmoja
  3. leah2

    Swali kwa wanaume wa jf

    Sijasema kila anaenitongoza ndyo maana Leo nimegeneralize mkuu
  4. leah2

    Swali kwa wanaume wa jf

    Asante mkuu
  5. leah2

    Swali kwa wanaume wa jf

    Twende kwenye mada. Nàuliza kwann mnapenda kutongoza kila mwanamke hata kama hammjui? Mtu ukisimulia unayopitia basi ujiandae Na mipm kibao. Hata kama ni umalaya wengine mmezidi. Loh!
  6. leah2

    Sauti yangu kwenu Makamanda Freeman Mbowe na Esther Matiko

    Wangefunga ndoa kabsa huko huko gerezani maana akili zao zinafanana. Naomba Mungu dhamana ishindikane ili waendelee kujifunza kutii Mamlaka.
  7. leah2

    Ukitaka kuichukia Serikali ingia JF mara nyingi

    Ungetuwekea na mabaya yake tupime wenyewe
  8. leah2

    Freeman Mbowe must step down to allow the oppostion party(CHADEMA) to take off!

    Pamoja na hilo wapinzani wenyewe hawaajitambui! Waoga wana mioyo ya kike
  9. leah2

    Freeman Mbowe must step down to allow the oppostion party(CHADEMA) to take off!

    Binfsi nilishakata tamaa na upinzani wa nchi hiii tunaomba Mungu jeshi lituokoe
  10. leah2

    Hakuna chama cha upinzani ambacho kina uwezo wa kuongoza nchi!

    Nilijua ungejibu hoja kumbe huna hoja umeishia kujibu vioja .
  11. leah2

    Hakuna chama cha upinzani ambacho kina uwezo wa kuongoza nchi!

    Nao ni wapiga deal tu hawa
  12. leah2

    Hakuna chama cha upinzani ambacho kina uwezo wa kuongoza nchi!

    Hoja yako inamshiko haswaa
  13. leah2

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    Sina uzito ni kama unavyoniona kwa profile, situmii pombe yyte
Back
Top Bottom