Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Hapo umekosea na hiyo laana itakurudia wewe mwenyewe kwani kuna haki ya kila Mwananchi ya kumchagua kiongozi anaye mtaka huwezi kumlazimisha mtu amchague kiongozi unaye mtaka wewe .Hapo sipo pamoja na wewe mkuu umekosea unavyosema. Hiiyo laana itakurudia wewe mwenyewe.Nawalaani watanzania wote waliompigia kura Magufuli October 25 2015 maana wametuletea majanga tu kwenye nchi yetu