Poleni na majukumu ya kila siku, naombeni msaada toka kwenu, nimekuwa nikiishi na mwanamke takriban miezi kumi(10) tangu February mwaka huu lakini nilipoteza kazi (ajira) toka mwezi may niliyumba kiuchumi lakini nilijitahidi kuhudumia familia nikisaidizana nae (ana watoto 2 ilammoja tukiishi...
Na vipi kuhusu kusababisha Acacia kufunga migodi yake kwa kile walichodai wanadai zaidi ya Tril. 400 na hii iliishia wapi kwani watanzsnia wasikuwa na hatia walikosa ajira na serikali kukosa mapato pia nauliza mantiki yake ikoje!?
Acha uzwazwa! Hebu tuambie ni nini kipya hapo? Pia twambie ile kodi ya sh 400+t mlioaminishwa iko wapi? Je mbona hata haikutajwa hata kwenye ripoti kwa hiyo utakubaliana nami kwamba zile ripoti ni rubish? Ulichopost ni takataka fikiri kwanza kabla ya kupoteza muda wako kupost ujinga!
No, yule binti hakubakwa walimtoa wenyewe kwa makubaliano haswa! Sasa ni ngumu kupata kule walichoaminisha wana uko sisi msjirani tulisema wee tukabezwa Sana haya sasa kwa wale wote mnaoshangilia twambieni logically mnadhangilia nini hasa kutoka kwenye kitimoto mpaka balimi njooni kwa hoja!
Hakika Nguvu ya Mungu imeonekana< Hakika pia Lissu amelipigania Taifa hili mpaka Damu yake kumwagika kwa ajili ya Taifa hili, nionavyo binafsi huyu ndie afaaye kuungwa mkono na daima tumwombee kwani ndie raisi ajae !!!!!!!
Hapana kawamwagia upupu sasa hata wale ambao hatuwajui tumewajua....... !! Wacha muvi iendelee maana mi kwa kasi alioanza nayo mkuu nilijua kila wiki lazima tupate update lakini nilivyosikia walioenda kwenye majadiliano ni siri nikajua hapo ni cheche, any way siku bado zipo wanaweza wakaendelea...
Wametutelekeza na Gu Mimba Gwetu hii imenichekesha saana Hahahahahaaaaaaaaa!!!! kwa hiyo wanaojidai wana uchungu waende Leba sasa!!!!!!:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::mad::mad::mad::mad::mad::mad::(:(:(:(:oops::oops::oops::oops:!!!
Ni sikubali kama ni wezi, Wezi ni wale madalali waliotangulia maana waliidalalia nchi yetu kwa makusudi ya matumbo yao na sasa tunashikana uchawi cha msingi hapa katiba ibadilishwe ili ile kinga Ife kwanini mnalikwepa hilo? Tunahangaika na wezi na ili hali wezi tunatembea nao kwenye makoti poor...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.