Recent content by Lax

  1. Lax

    Magufuli na Makonda watawaweza 'watoto wa mjini'?

    alikamatwa 21, julai, 2021 kwa mujibu wa gugo. Magu kaondoka 17, machi, 2021
  2. Lax

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    huyu bibi bado yupo kwenye chati?
  3. Lax

    Kuhusu nafasi ya urais wa Tanzania 2030-2040 tayari CCM tunae kiongozi

    bi mkubwa mwenyewe alikua analalamika watu wanatolea macho 2025 kiasi cha kufanya hujuma, wewe unasema kitu gani aisee
  4. Lax

    Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika na Sugu wanazeeka, sioni Chipukizi mwenye Hekaheka na uwezo mwenye miaka 25-40. CHADEMA wanampango upi?

    nimekupa vyema mkuu, tuendelee kuwasihi kujitahidi kuzingatia utulivu. japo mazingira magumu ila utulivu nao ni wa muhimu sana lasivyo chama kinatoa taswira mbaya upande wa vijana
  5. Lax

    Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika na Sugu wanazeeka, sioni Chipukizi mwenye Hekaheka na uwezo mwenye miaka 25-40. CHADEMA wanampango upi?

    ni maoni tu mkuu, ya kuchukua chukueni yasio na umuhimu yanapotezewa tu, kusema tumefollow parody haiwezi kua kweli
  6. Lax

    Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika na Sugu wanazeeka, sioni Chipukizi mwenye Hekaheka na uwezo mwenye miaka 25-40. CHADEMA wanampango upi?

    naam madhila yanayoikuta cdm hatukatai ila mbinu wanazotumia sio sahihi kwa picha ya muda mrefu. hata ccm vijana wa matusi wapo ila ukicheki fasta fasta wapo mbali na chama, upand huu wa cdm unakula matusi hata kutoka mkuu wa kanda fulani ya vijana alafu hakuna kitu kinatokea. mfano...
  7. Lax

    Kuhusu nafasi ya urais wa Tanzania 2030-2040 tayari CCM tunae kiongozi

    mimi kama polepole mkuu "sina malengo" utawala wa bi mkubwa muhula wa kwanza ulikua mgumu sana kwa kiunzi cha 2025, sasa 2025 imeshafika nayeye kwa sasa ni outgoing , ila matatizo yaleyale yanatajwa tena?
  8. Lax

    Mbowe, Lissu, Heche, Lema, Mnyika na Sugu wanazeeka, sioni Chipukizi mwenye Hekaheka na uwezo mwenye miaka 25-40. CHADEMA wanampango upi?

    hasa hilo la matusi na uzushi hata ushauri hawapokei, inawezekana nguvu hii ya mitandao ndo inawapelekea hivyo. ika on the long run sio mpango mzuri watu hawawezi wakawa wanataka kuibadili ccm , alafu watu wakupokea kijiti wakawa hawajajiweka kwenye mazingira ya kupokea kijiti
  9. Lax

    Makonda: Wanaodhoofisha jitihada za Rais Samia kisa tamaa za kupata Urais mwaka 2030 hawatofanikiwa

    ilani itatekelezwa muda gani aisee mbona harakati hizi zimeanza mapema sana, katiba itapatikana kweli kwenye zengwe la namna hii ha[po viunga vya chama cha ccm?
  10. Lax

    Tegemea huu mwaka kuvunja rekodi ya vifo vya wabunge na mawaziri wa CCM wanaweza fika mpaka 30

    naam , na awamu hii tuishukuru sana kwa kuondoa wasiwasi na kuweka wazi uhalisia wa uchaguzi ambavyo hua unafanyika
  11. Lax

    Kuhusu nafasi ya urais wa Tanzania 2030-2040 tayari CCM tunae kiongozi

    yani ilani hata haijasogea mbele tayari mshapata mgombea urais wa 2030 tatizo nini huko ccm 😁
Back
Top Bottom