Recent content by Lax

  1. Lax

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    sasa suala zito kama hili mtu unakuja anonymous kweli? follow up questions utajibuje huko ulipo mtoa mada. kwanza pole sana , pili kama mkoa ulipo ukisikia ziara yeyote kama zile za waziri mkuu usisite kujaribu bahati yako. --- yani namaanisha gaming board ikishindwa kukusaidia na...
  2. Lax

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua kuhusu Bachelor of Arts in diplomatic and defence studies.

    kwa kua unamuamini , akachape kazi tu
  3. Lax

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    ndugu zao kina nchimbi wanasemaje?
  4. Lax

    JamiiForums Tanzania Ila ngozi nyeusi 😂

    mtoa mada vipi kuhusu watoto wa wanasiasa au wao hawaingii kwenye kundi hilo?
  5. Lax

    JamiiForums Tanzania Ila ngozi nyeusi 😂

    ualimu unashida gani?
  6. Lax

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    wanaosema nchimbi kashikiliwa wanaushahidi au wanahisi kwa kua hawajamuona?` na ni kina nani hao wanaosema hawajamuona, na hawajamuona wapi? suala la nchimbi kua kauwawa au lah ni jambo lingine
  7. Lax

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    sijasema ni jukumu lao peke yao, nachosema mimi binafsi nawaona wazushi kwa wao kukalia kimya jambo lile hali ya kua hatari iliyopo ilikua ni dhahiri --- sina maana nataka kuwatetea waliorusha risasi, hii changamoto ni collective
  8. Lax

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    changamoto hapa inategemea tunachukua angle ipi, Nchimbi kama VP mstaafu tunamzalimishaje atoke tumuone kama yeye hataki? kama familia yake ipo kimya haijalalamika hawa wananchi wanaotaka kumuona nchimbi hawaingilii uhuru wake wa kukaa kimya? hizi zingine zote ni speculation , unless...
  9. Lax

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    mkuu unataka kuniambia wewe binafsi hukuhisi watu watakufa ile siku? chadema hawakuona hilo? unafikiri ni bahati mbaya wanaharakati wote wale ghafla wapo kenya mimi binafsi nilitarajia wangetumia njia yeyote ya wao kutoa tamko lao hadharani kuwakataza watu kuandamana siku ile ya uchaguzi...
  10. Lax

    JamiiForums Tanzania Mdogo wake Nchimbi atekwa

    chanzo dhoofu sana
  11. Lax

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    hivi kesho migiro akiitisha press na akatuambia wamemvua uanachama samia hali itakuaje?
  12. Lax

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    nchi ni ngumu kiasi, binafsi hata kitendo cha chadema kukaa kimya wakati watu walivokua wanajipanga kuingia barabarani kwenye uchaguzi naendelea kuwalalamikia kwamba na wao walikua wanasubiri kwa hamu watu wafe ili wapate advantage.
  13. Lax

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    kwakua wamemvua uanachama , kujiuzuu kwake hakuna nguvu sana, kwa muundo uliopo cheo cha makamu wa rais anayekidhibiti ni rais (mwenyekiti wao)
Back
Top Bottom