sasa suala zito kama hili mtu unakuja anonymous kweli? follow up questions utajibuje huko ulipo mtoa mada.
kwanza pole sana ,
pili kama mkoa ulipo ukisikia ziara yeyote kama zile za waziri mkuu usisite kujaribu bahati yako. --- yani namaanisha gaming board ikishindwa kukusaidia na...
wanaosema nchimbi kashikiliwa wanaushahidi au wanahisi kwa kua hawajamuona?` na ni kina nani hao wanaosema hawajamuona, na hawajamuona wapi? suala la nchimbi kua kauwawa au lah ni jambo lingine
sijasema ni jukumu lao peke yao, nachosema mimi binafsi nawaona wazushi kwa wao kukalia kimya jambo lile hali ya kua hatari iliyopo ilikua ni dhahiri --- sina maana nataka kuwatetea waliorusha risasi, hii changamoto ni collective
changamoto hapa inategemea tunachukua angle ipi, Nchimbi kama VP mstaafu tunamzalimishaje atoke tumuone kama yeye hataki? kama familia yake ipo kimya haijalalamika hawa wananchi wanaotaka kumuona nchimbi hawaingilii uhuru wake wa kukaa kimya?
hizi zingine zote ni speculation , unless...
mkuu unataka kuniambia wewe binafsi hukuhisi watu watakufa ile siku? chadema hawakuona hilo? unafikiri ni bahati mbaya wanaharakati wote wale ghafla wapo kenya
mimi binafsi nilitarajia wangetumia njia yeyote ya wao kutoa tamko lao hadharani kuwakataza watu kuandamana siku ile ya uchaguzi...
nchi ni ngumu kiasi, binafsi hata kitendo cha chadema kukaa kimya wakati watu walivokua wanajipanga kuingia barabarani kwenye uchaguzi naendelea kuwalalamikia kwamba na wao walikua wanasubiri kwa hamu watu wafe ili wapate advantage.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.