Recent content by Lax

  1. Lax

    JamiiForums Tanzania Gari toka Japan linauzwa Mil 5.6 hadi Tanzania, halafu TRA wanataka Mil 9.8 cash!

    gari bila usafiri, hela ya bongo ni hela ya wakuu mbalimbali
  2. Lax

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    naam ni fiber mkuu kwa haya mambo ya sasa ya ttcl kuhama itakua ni jambo gumu sana aisee , hapo kwenyewe inabidi watupe 60/60 mbps kwenye upload speed tu ndo naona maximum inafika 30 mbps ila download ina maintain 57 to 59 mbps vyema sana
  3. Lax

    JamiiForums Tanzania Washiriki 300 wa USA dhidi ya 2 wa Iran huko Pakistani

    mmarekani hawezi kua serious , na udhibitisho ni demands zake
  4. Lax

    JamiiForums Tanzania Bunge la Djibouti lapiga Kura kuondoa kizingiti cha Umri wa Urais

    kashinda/kachukua muhula wa 6 kwa asilimia 97.8
  5. Lax

    JamiiForums Tanzania Vita Kali Dhidi ya Atheists Season 1, Episode 1: Kwanini Kilamtu anajua "hiki ni kibaya au kizuri," bila makubaliano yeyote ?

    kwa pale youtube theist hupotezaga pambano kwenye kitengo cha mada hiyo, acha tuone maoni ya wadau jamvini
  6. Lax

    JamiiForums Tanzania Vita Kali Dhidi ya Atheists Season 1, Episode 1: Kwanini Kilamtu anajua "hiki ni kibaya au kizuri," bila makubaliano yeyote ?

    hii mada ndo kule youtube wanasema objective morality?
  7. Lax

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    nini kimetokea huko
  8. Lax

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    mkuu wewe mjanja mjanaja sana wa maneno, test ile niloandika mwanzo ya chuma ulete umeona haina maana, eleza hapa uchawi ni nini , na unapiga kazi katika criteria gani, mambo ya kuthibitisha kisayansi waachie wanayohitaji hayo , wewe eleza hizo point mbili kwanza
  9. Lax

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    mtumie incumbent, VP, PM, yule wa SMZ ili wawe rahisi kuwatrack against maelezo yako mkuu
  10. Lax

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    kwenye kutovuka maji hapo , kombe la dunia limekuja afrika hapa na hatujaambulia kitu, ukiwaeleza hilo wanasema spain alikua mchawi zaidi
  11. Lax

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    kwani mkuu wewe hivi vitu navielewa? kama ndio tueleze. kama hapana mimi na wewe ni walewale
Back
Top Bottom