naam ni fiber
mkuu kwa haya mambo ya sasa ya ttcl kuhama itakua ni jambo gumu sana aisee , hapo kwenyewe inabidi watupe 60/60 mbps kwenye upload speed tu ndo naona maximum inafika 30 mbps ila download ina maintain 57 to 59 mbps vyema sana
mkuu wewe mjanja mjanaja sana wa maneno, test ile niloandika mwanzo ya chuma ulete umeona haina maana,
eleza hapa uchawi ni nini , na unapiga kazi katika criteria gani, mambo ya kuthibitisha kisayansi waachie wanayohitaji hayo , wewe eleza hizo point mbili kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.