nimekupa vyema mkuu, tuendelee kuwasihi kujitahidi kuzingatia utulivu.
japo mazingira magumu ila utulivu nao ni wa muhimu sana lasivyo chama kinatoa taswira mbaya upande wa vijana
naam madhila yanayoikuta cdm hatukatai ila mbinu wanazotumia sio sahihi kwa picha ya muda mrefu.
hata ccm vijana wa matusi wapo ila ukicheki fasta fasta wapo mbali na chama, upand huu wa cdm unakula matusi hata kutoka mkuu wa kanda fulani ya vijana alafu hakuna kitu kinatokea.
mfano...
mimi kama polepole mkuu "sina malengo"
utawala wa bi mkubwa muhula wa kwanza ulikua mgumu sana kwa kiunzi cha 2025, sasa 2025 imeshafika nayeye kwa sasa ni outgoing , ila matatizo yaleyale yanatajwa tena?
hasa hilo la matusi na uzushi hata ushauri hawapokei, inawezekana nguvu hii ya mitandao ndo inawapelekea hivyo. ika on the long run sio mpango mzuri watu hawawezi wakawa wanataka kuibadili ccm , alafu watu wakupokea kijiti wakawa hawajajiweka kwenye mazingira ya kupokea kijiti
ilani itatekelezwa muda gani aisee mbona harakati hizi zimeanza mapema sana, katiba itapatikana kweli kwenye zengwe la namna hii ha[po viunga vya chama cha ccm?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.