Kichwa cha habari chahusika,nangoja tu wahusika kuhusika.kila muhusika nimemuhusisha.
Humu kuna nyuzi kama Uzi maalumu wa picha za watoto wakali,Uzi maalum wa kupena like na comments.nk
Nataka kujua tu nilichouliza hapo kichwani
Hakuna nilipolalamikia mshahara.nimekalamikia hako kamladi kangu mbali na mshahara.Hutanielewa mpaka pale babaako atakapoacha kupanga bajeti ya chakula kwaajili yako.
Habari zenu jamani.naomba watumishi mnijuze kama tayari shimo limetema.
Nilijichanga changa nikanunua kagari ka biashara sasa kamepata hitilafu kamekomba hela zangu zote.nategemea tu mshahara nikafufua kagali kangu kaendelee kupiga mzigo namimi nilipe madeni ya watu.
Ama kweli ng'ombe wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.