Mungu yupi unayemsema? Kama ni huyu sliyeumba binadamu na viumbe vyote na mbingu Yeye anaweza kufanya au kuumba kitu chochote kwa muda aliopanga. Au kuwa kitu chochote ili watu waweze kuntambya zaidi baada ya makosa ya Adam
Hivi karibuni nilihitaji mfuniko wa chrmba. Size 49 kwa 40sm. Toka mwenge kuelekea Bunju bei ni 40000. Ila Manzese ni 22000. Tifauti ya 18000. Wote wamenunua kwa mchina haoa hapa Dar es salaam. Wafanyabiashara wa kutoka Mwrenge hadi Bunju wanaweza kuwa wanatuhujumu sisi?
Ungekuwa na nyumba ya kupangishs ungeelewa sababu. Mfano wa kwangu alikuwa ananilipa kila baada ya miezi mitatu. Akaomba iwe kila mwezi lakini inafikia miezi 3 hajalipa na akilipa ni nusunusu.
Si ufike pale ruvu darajani uone kima cha maji au ulizia wanaopita maeneo hayo ya ruvu darajani watakupa habari. Labda tupate taarifa za ile miradi ya umwagiliaji upande wa juu kabla ya kufika maeneo ya pampu za maji zilipo.
Kwani ukifika umri huo nani amekulazimisha ufuate dini yoyote. Kama bado uko unakula kwa wazazi fuata sheria yao mpaka utakapoondoka hapo nyumbani uende bila dini au kufuata yoyote urakayoipenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.