Recent content by lautanyi

  1. L

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Mungu yupi unayemsema? Kama ni huyu sliyeumba binadamu na viumbe vyote na mbingu Yeye anaweza kufanya au kuumba kitu chochote kwa muda aliopanga. Au kuwa kitu chochote ili watu waweze kuntambya zaidi baada ya makosa ya Adam
  2. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini Yesu hakuwahi kuombea Mgonjwa?

    Amuombe Nani. Yeye ni Mungu aliyekuja kujionesha kibinadamu kuwa yupo ni wa kweli.
  3. L

    JamiiForums Tanzania Mkiwa bado katika debate ya kwamba hauwezi fanya biashara Kariakoo bila uchawi, wachina wana takeover taratibu. Mbona hamuwarogi sasa!

    Hivi karibuni nilihitaji mfuniko wa chrmba. Size 49 kwa 40sm. Toka mwenge kuelekea Bunju bei ni 40000. Ila Manzese ni 22000. Tifauti ya 18000. Wote wamenunua kwa mchina haoa hapa Dar es salaam. Wafanyabiashara wa kutoka Mwrenge hadi Bunju wanaweza kuwa wanatuhujumu sisi?
  4. L

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini wenye nyumba Tanzania wanalazimisha kodi iwe miezi mitatu au sita?

    Ungekuwa na nyumba ya kupangishs ungeelewa sababu. Mfano wa kwangu alikuwa ananilipa kila baada ya miezi mitatu. Akaomba iwe kila mwezi lakini inafikia miezi 3 hajalipa na akilipa ni nusunusu.
  5. L

    JamiiForums Tanzania Binti wa Chuo anataka nimuoe na nimvumilie amalize masomo, najiuliza itakuwaje badae?

    We uendeleze urafiki tu sio wa kuoa wala nn. Usigharamie kumsomesha mchumba. Jihadhari yalimtokea jirani yangu miaka hiyo ya 1975
  6. L

    JamiiForums Tanzania "Mwana wa Zinaa" Kiislamu HANA URITHI, Wakristo ninyi vipi, mnawapa urithi?

    Kwani nabii Selemani alikuwaje. Unataka ufunfishwe na nani kuwa hakuna mwana haramu?
  7. L

    JamiiForums Tanzania Leo nimepakumbuka Moshi Technical Secondary school

    1970 form one azimio shule ilikuwa nzuri sana kimajengo. Orchad kuna machungwa machenza ba na mabalungi. Papai tunanunua huko kijiji kinaitwa matunda
  8. L

    JamiiForums Tanzania DC Kibaha aachana na mkewe, kisa Matokeo ya DNA

    Nenda ukapimie Kenya hakuns uongo wala ustawi wa jamii kuingilia
  9. L

    JamiiForums Tanzania Nmeacha kazi bila kumshirikisha mwajiri, Je naweza Kupata NSSF yangu?

    Kuacha kazi una haki vipi unetoroka? Sasa rudi ukaandike barua ya kuacha kazi toja tarehe ulipiachs. Wakijibu huo ndio ushidi hauko kazini.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 24 ila mchumba wangu anataka nimsomeshe. Nifanyeje?

    Kila siku mnafundishwa huku jf mchumba hasomeshwi labda mke uliyezaa naye watoto. Ingefaa admin akufungie kidogo.
  11. L

    JamiiForums Tanzania Takwimu za hao mmoja mmoja mnaowateka kumbe zinakusanywa nilikuwa silijui hili limenishtua sana kuona kumbe orodha ni ndefu sana

    Umesshsu daws za ukimwi zimesaidia nguvukazi kutopata mtikisiko mkubwa pia familia
  12. L

    JamiiForums Tanzania Hii kete walioisukuma CCM ni kama inataka kufanikiwa

    Si ufike pale ruvu darajani uone kima cha maji au ulizia wanaopita maeneo hayo ya ruvu darajani watakupa habari. Labda tupate taarifa za ile miradi ya umwagiliaji upande wa juu kabla ya kufika maeneo ya pampu za maji zilipo.
  13. L

    JamiiForums Tanzania Lema kama unasema serikali ndio watekaji na wauaji mbona wamwomba Mama akulinde. Mama si ndiye mtekaji wenu mlisema. Nyenyenye!

    Kuna msemo isemayo mpe mchawi akulele mwana naona hyu kafuata msemo huu hahaha lema
  14. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini kusiwe na sheria ya mtu kuchagua dini/dhehebu akifikisha miaka 18?

    Kwani ukifika umri huo nani amekulazimisha ufuate dini yoyote. Kama bado uko unakula kwa wazazi fuata sheria yao mpaka utakapoondoka hapo nyumbani uende bila dini au kufuata yoyote urakayoipenda
Back
Top Bottom