Kuna watu wachafu wakiwa na taka wanatupa mahali popote.Hasa dar pia ambako hakuna mapipa katika mji ya kuweka au kutupa taka labda seheme naalumu kama hospital
Mungu yupi unayemsema? Kama ni huyu sliyeumba binadamu na viumbe vyote na mbingu Yeye anaweza kufanya au kuumba kitu chochote kwa muda aliopanga. Au kuwa kitu chochote ili watu waweze kuntambya zaidi baada ya makosa ya Adam
Hivi karibuni nilihitaji mfuniko wa chrmba. Size 49 kwa 40sm. Toka mwenge kuelekea Bunju bei ni 40000. Ila Manzese ni 22000. Tifauti ya 18000. Wote wamenunua kwa mchina haoa hapa Dar es salaam. Wafanyabiashara wa kutoka Mwrenge hadi Bunju wanaweza kuwa wanatuhujumu sisi?
Ungekuwa na nyumba ya kupangishs ungeelewa sababu. Mfano wa kwangu alikuwa ananilipa kila baada ya miezi mitatu. Akaomba iwe kila mwezi lakini inafikia miezi 3 hajalipa na akilipa ni nusunusu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.