Si ufike pale ruvu darajani uone kima cha maji au ulizia wanaopita maeneo hayo ya ruvu darajani watakupa habari. Labda tupate taarifa za ile miradi ya umwagiliaji upande wa juu kabla ya kufika maeneo ya pampu za maji zilipo.
Kwani ukifika umri huo nani amekulazimisha ufuate dini yoyote. Kama bado uko unakula kwa wazazi fuata sheria yao mpaka utakapoondoka hapo nyumbani uende bila dini au kufuata yoyote urakayoipenda
Kile uingereza kila mtu asie na ajira hulipwa pound 400 kila mwexi. Hii hutosha kula na malazi nk. Ukifanya kibarua kwa saa haipungui pound 5 kwa saa. Hizi haukatwi kodi. Hizi wanazitumis kulipia kiingilio cha mpira. Hapa wengi hawajui wskirudi watakula nn. Pound moja inakatibiavTzs 3000.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.