Recent content by lautanyi

  1. L

    Nmeacha kazi bila kumshirikisha mwajiri, Je naweza Kupata NSSF yangu?

    Kuacha kazi una haki vipi unetoroka? Sasa rudi ukaandike barua ya kuacha kazi toja tarehe ulipiachs. Wakijibu huo ndio ushidi hauko kazini.
  2. L

    Nina miaka 24 ila mchumba wangu anataka nimsomeshe. Nifanyeje?

    Kila siku mnafundishwa huku jf mchumba hasomeshwi labda mke uliyezaa naye watoto. Ingefaa admin akufungie kidogo.
  3. L

    Takwimu za hao mmoja mmoja mnaowateka kumbe zinakusanywa nilikuwa silijui hili limenishtua sana kuona kumbe orodha ni ndefu sana

    Umesshsu daws za ukimwi zimesaidia nguvukazi kutopata mtikisiko mkubwa pia familia
  4. L

    Hii kete walioisukuma CCM ni kama inataka kufanikiwa

    Si ufike pale ruvu darajani uone kima cha maji au ulizia wanaopita maeneo hayo ya ruvu darajani watakupa habari. Labda tupate taarifa za ile miradi ya umwagiliaji upande wa juu kabla ya kufika maeneo ya pampu za maji zilipo.
  5. L

    Lema kama unasema serikali ndio watekaji na wauaji mbona wamwomba Mama akulinde. Mama si ndiye mtekaji wenu mlisema. Nyenyenye!

    Kuna msemo isemayo mpe mchawi akulele mwana naona hyu kafuata msemo huu hahaha lema
  6. L

    Kwanini kusiwe na sheria ya mtu kuchagua dini/dhehebu akifikisha miaka 18?

    Kwani ukifika umri huo nani amekulazimisha ufuate dini yoyote. Kama bado uko unakula kwa wazazi fuata sheria yao mpaka utakapoondoka hapo nyumbani uende bila dini au kufuata yoyote urakayoipenda
  7. L

    Magaidi wa Hamas wajaribu kumteka askari wa Israel huko Khan Younis na kushindwa!!!

    Wale wapalestina sio waarabu ndio maanà nchi za kiarabu zinawkataa
  8. L

    Kasikazini panapwaya mno, wachaga zaeni hii ni aibu waliooa kwenu waja kuwa wabunge wenu, Kikeke ni mzanzibari Moshi VIJIJINI afata Nini?

    Hta usukumani. Wat3ndajji wasio kabila hllo ni shida.. mikutano kwa kisukum,a tu
  9. L

    Tetesi: Majaliwa anapigwa chini kiujanja

    Ili tukihama dini ukatwe kichwa
  10. L

    Sasa ni Dhahiri kwamba Ajira ni Tatizo kubwa Tanzania

    Kile uingereza kila mtu asie na ajira hulipwa pound 400 kila mwexi. Hii hutosha kula na malazi nk. Ukifanya kibarua kwa saa haipungui pound 5 kwa saa. Hizi haukatwi kodi. Hizi wanazitumis kulipia kiingilio cha mpira. Hapa wengi hawajui wskirudi watakula nn. Pound moja inakatibiavTzs 3000.
  11. L

    Tanzania yapitisha Tani 455,000 za mizigo Mombasa mwaka 2024; Economic Intelligence iko wapi?

    Unasahsu mikoa ya tanga kilimanjaro na arushs singida ni rahisi na gharsma ndogo kutumia bandari ya mombasa
  12. L

    Fahamu umuhimu wa kutokunyoa nywele za kwapani na zinazozunguka eneo la haja kubwa

    Kama wanawake hawana kuna sababu. Ila najua huwa wanaziondoa. Ujue hawana labda kutofautisha jinsi kama ndevu zilivyo kwa wadume.
  13. L

    Ukweli umebainika : Ndege za Marekani zilifanya Udanganyifu katika kulipua Vinu vya Nyuklia Iran

    Sasa kama ni hivyo hayo makombora iran inanyeshea israel yanapita anga gani na pia yanatoka huko huko iran
Back
Top Bottom