omganya, Mawazo yako yana mashiko sana,ila bahati mbaya wewe si sehemu ya watu wanaomzunguka Rais, hivyo yatabaki humu tu jamii forums bila kuwasaidia watanzania zaidi ya milioni 50.Wanaomzunguka Rais wetu wako bize kuimba pambio za kumsifu tu Rais na sasa wanaimba nyimbo za kuabudu kabisa e.g...
Bwana mdogo nadhani tatizo liko kwako,ingawa wewe ndo unayetendewa hayo.Kama utataka nikueleze matatizo yako mimi niko tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla hatujasubiri hiyo October yako,tupe kwanza vithibitisho vinavyokufanya upanue kifua chako kwa kudhani kujidanganya kuwa October mtafanya wonders?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unakimbilia topic nyingine mkuu?nijibu kwanza hoja yangu ya msingi then tutaendelea tu kwani kuna tatizo gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mazuri ya Dr.Dlaa yataendelea kukumbukwa na kila mtu ndani ya Chadema na hata nje ya chadema,lakini mazuri yake kamwe hayawezi kutumika kama kibali cha yeye kuwa zaidi ya maamuzi ya wajumbe zaidi ya elfu moja ya vikao halali vya chama.Any way, umewahi kujiuliza ktk tofauti hiyo kama angeamua...
Hiyo damu ilimwagwa na chadema au?yaani damu hiyo iache kuwaandama nyoka wa kijani walioimwaga ije iwaandame watetezi wa wanyonge!!?who are you by the way?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.