Recent content by LAURENT ANTONY

  1. L

    Freeman Mbowe agoma kupokea mkono wa Prof. Lipumba mazishi ya Kingunge makaburi ya Kinondoni

    Mtoa maada ulipaswa ulipaswa kusema hivi:uhasama baina ya Yuda na Ukawa, halafu tukukumbushe kuwa CUF haijasimamisha mgombea kinondoni,isipokuwa Yuda amesimamisha mgombea wake ikiwa ni mwendelezo wa uyudalism wake.
  2. L

    Picha za Sheikh Alhad Mussa na makada wa CCM zinatoa tafsiri gani? BAKWATA toeni ufafanuzi

    Kitu ambacho watu Wengi hawakijui ni kwamba, kuwa kiongozi wa dini ni jambo jingine na kuwa Mtumishi wa MUNGU ni suala linguine, Kwa, hiyo kuna viongozi wa dini na watumishi wa MUNGU, hivyo viongozi wa dini wanawajibika zaidi kwa masrahi ya dini zao na masrahi yao binafsi, lakini watumishi wa...
  3. L

    Dr. Slaa umesahau mambo uliyopigania kwa miaka 20?

    Mwenzio huyu hapa anakusalimia
  4. L

    Dr. Slaa umesahau mambo uliyopigania kwa miaka 20?

    Nothing you wrote, please repeat again!
  5. L

    Rais Magufuli ashangaa Majaji kwenda likizo Ulaya kwa gharama zao, amtaka Jaji Mkuu kuchunguza

    Naona watu mnatoka povu sana kwa jambo ambalo ni explainable, mshahara pekee hauwezi kuwa determination value issues,bali matumizi (expenditures) ndio kitu cha msingi than all of all. Eg unakuta mtu anamshahara mdogo lakini ana nidhamu ya matumizi hivyo anaweza kuwa na akiba nzuri ya fedha...
  6. L

    Mzee Kingunge Ngombale Mwiru azungumza kuhusu Tundu Lissu

    Usijipe jukumu la kuwachagulia watu itikadi, eti "kingunge wa leo si wa jana "acha unafiki kaka, kuna faida kuwa mnafiki?
  7. L

    Mzee Kingunge Ngombale Mwiru azungumza kuhusu Tundu Lissu

    Nani anae paswa kujitathimini, ni Mzee Kingunge au were? mimi nadhani ni wewe!!!!!!!
  8. L

    TANZIA: Mzee Kingunge Ngombale–Mwiru afariki dunia! Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi

    Bwana alitwaa, bwana ametoa, jina la bwana libalikiwe, Amen!!!!!!
  9. L

    Kwa anayefahahamu utaratibu wa kununua bidhaa kiwandani, Msaada tafadhali

    Kama heading hapo Juu, Mimi ni mfanyabiashara wa kati(middle class) kwa wajuvi wa suala langu hilo maoni yenu tafadhali.
  10. L

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Tatizo lako mkuu, unalazimisha mbuzi awe twiga! as a business man you are suppose to obey economic regulations.
  11. L

    Unapewa vikosi hivi viwili na Kim wa north Korea kwamba lazima urudi na kombe utachagua kikosi gani hapo

    A mkuu inatisha coz B baadhi ni mizigo eg Cr7 ni magimbi na ndo alieharibu first 11.
  12. L

    Kilimanjaro: Viongozi 17 wa vyama vya upinzani Moshi Vijijini wameomba kujiunga na CCM

    Haya mazingaombwe yametuchosha hivi tangu lini mtu akitaka kujiunga na chama flani anatuma maombi? Kwani siku hizi kuna application forms kwa wahamiaji wa vyama? These issues are only for this term!!!!
  13. L

    RC Mnyeti amtumia mbunge Ole Millya salamu za kuachia jimbo la Simanjiro

    Sasa mambo hadharani DC, RC, n. k ni puppets wa CCM
  14. L

    Mke wangu kashindwa kunisitiri kaona aniaibishe

    Sikushangai sana mkuu kwakuzingatia utafti wa tuaweza.Majibishanano yako na mkeo yanaonyesha kuwa una ignorance ya kiwango cha lami!!!!!
Back
Top Bottom