kuna shule ipo kigamboni inaitwa Excle hawa wanasema lazima darasa I la nne na la saba wakae boarding, lakini mtoto ukienda kumuona amebaki mifupa, ooh bila kukaa boarding hata pata matokeo mazuri maana masomo yanaanza saa 11 alfajiri. Waziri kataza hii kitu hata sisi tulisoma day mpaka...
Mimi nilitumia za pid nikapona, shida ni moja hawaelezi ukweli kuwa dose mmoja haitatosha kukupa matokeo kwa sababu zile siyo dawa ni supplements, mimi nilipata mtu mkweli nikamweleza changamoto zangu alinijibu nitapona lakini lazima nijitahidi kuacha baadhi ya vyakula pia dose mmoja haitamaliza...
Habari, nauza shamba heka 10 na heka 4 zipo kijiji cha pili kutoka kimanzichana kilometer moja kutoka barabara ya kilwa.
Shamba la heka 10 ni shamba Pori linafaa kwa kilimo na ufugaji, matumizi ya baadae litafaa kukata Viwanja maana barabara ya kilwa ikipanuliwa yenyewe itakuwa kiwanja cha...
Kiwanja kilichopimwa kipo Mwasonga, Kigamboni kilometer 30 kutoka ferry, ni kiwanja cha makazi chenye ukubwa wa sqm 712 na sqm 725 kila kimoja nauza kwa million 5 unaruhusiwa kutanguliza Milioni 3 nyingine umalizie ndani ya muda tutakao kubaliana
Vimepimwa na vina hati ukilipa cash unapata hati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.