Recent content by Latoya

  1. L

    Msaada: Nataka kuacha kazi ya kuajiriwa na nina mkopo benki niliochukua na kuweka mshahara wangu dhamana

    Ndo ukwel haina maana unafanya kazi tena kwa juhudi na maarifa but your not happy Umezungukwa na mijitu ukiperform inakalia kukusema vibaya na kukununia ,kisa umeyazid uwezo,so kipi bora? Nipretend kuwa lever zao afunipoteze ndoto zangu? Si bora tuyaachie ofic zao yajiachie tu If you good you...
  2. L

    Msaada: Nataka kuacha kazi ya kuajiriwa na nina mkopo benki niliochukua na kuweka mshahara wangu dhamana

    Ndo nayoyasema haya wabongo kwa kikatishana tamaa hatujambo Eti job security serikalin ipi hiyo? Mwenyewe nshaamua kusepa sijal Kwan waso na ajira serikalin hawaishi? Juzi kati nimelipwa chek ya 10 na kampuni moja is insurance,nimepanga 5 nifungue business,halafu 5 za kula na family...
  3. L

    Sema sababu iliyokutenganisha wewe na mpenzi wako wa zamani

    Hahahah Tulikuwa tukikaa ananiuliza una plot ngapi?baby nipe mil 3 na shida nayo ukimwambia sina ananuna Mara aniulize una kiasi gan bank nikimwambia unataka jua yangu tu mbona yako husemi anakasirika na kusema simuheshimu Siku nikamwambia twende kwako akanambia ntakwambia ila hola ,hadi...
  4. L

    Sema sababu iliyokutenganisha wewe na mpenzi wako wa zamani

    Wee wanaume wengi wako hivo skuizi halafu wasomi wana kazi hadi aibu ,yani daily mwanaume anakuomba hela kama demu Mie nilimwambia usiniombe hela please sina akakasirika eti simheshimu,halafu ajabu sijawah mwomba hata mara moja halafu wanaona ni haki yao kupewa, ukimnyima ananuna Kweli kizaz...
  5. L

    Nina mtaji mil 5 nifanye biashara gani?

    Si nasoma kila leo watu walivyolizwa humu halafu nami niingie kama nyumbu lol Isitoshe sijasomea maswala ya finance Mie nimesoma real estate Kwann nifanye kitu sina hata ujuzi ama ufahamu nacho?
  6. L

    Nina mtaji mil 5 nifanye biashara gani?

    Forex tena hahahah am sorry
  7. L

    Nina mtaji mil 5 nifanye biashara gani?

    Shukran na ndio ndoto yangu Siyo kuuza eti mazao ama misosi Siyo fan yangu wala hobby yangu
  8. L

    Nina mtaji mil 5 nifanye biashara gani?

    Nadhani wengi hawajanielewa,sina lengo la kuacha kazi instantly Nataka nianze biashara mdogomdogo nikijipanga kuacha mbelen Pia itanipa fursa ya kuwa busy na biashara yangu,nitadodge kwenda ofisini daily
  9. L

    Nina mtaji mil 5 nifanye biashara gani?

    We nawe nyumba si hata chumba na sebule ni nyumba au?kagari kenyewe vits, ishu nikupata wala la biashara ya kunikeep busy nisipoteze ndoto yangu Na kujiongezea kipato ilhal bado kijana
  10. L

    Wana idara kuwa na njaa (kupiga mizinga) au mishen town?

    Mkuu nimekugusa? Am sorry ni swali tu? Samahani kama nimekuoffend in any way
  11. L

    Wana idara kuwa na njaa (kupiga mizinga) au mishen town?

    Habari za usiku sana bodi Nikiri nimekuwa nakutana na hawa jamaa sana either kazin au mtaani,ila sana sana kazin. Wanakuja kwa gear ya mapenzi and all that ila baada ya muda wanaanza kukulilia njaa. Mmoja alijitambulisha ila wengine wawil niliwahis tu. Ishu kubwa wana njaa sana.mtu ana kubom...
  12. L

    Tetesi: Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga inasemekana amejiuzulu

    Ni kweli jamaa kasema Alichemka sana kurudi serikalini Walikuwa wanamtafuta kitambo Akatupiwa chambo kanasa pole le big boss We mpambanaji utarudi tu kwenye form
  13. L

    Ngono sehemu ya kazi: Je, ni kweli huambatana na mikosi?

    Yaweza kuwa kweli aiseeh niliwah fanya ngono kwenye gari yangu nilipiga mziga mara kadhaa mara ya mwisho niligongwa na semi trela gari ikafa kabisa ila Mungu ni mwema nilisavaivu,hakuna aliyeamini manake gari ilibondeka hatari hadi leo naogopa gari hatari ,naendeshwa au napanda daladala hadi...
  14. L

    Nina mtaji mil 5 nifanye biashara gani?

    And thas my dream Sijifanyi mchapakazi Mimi niko hivo coz am creating my future sishindan na yeyote Ilaukinipa jukumu ntatekeleza niko hivo Nikisema niende kilocaloca hata kazin huwa siend I need a purpose in life It's either I perform or undeperfom Nimelelewa hivo kudeliver I always win or...
  15. L

    Nina mtaji mil 5 nifanye biashara gani?

    Nimejaribu sana naona jamaa ananifanya niichukie kazi yangu Wakati nafanya kazi nikicreate cv yangu We mtu anakukabidhi jukumu akiona umeperform kupita malengo,juu kwa juu anampa mwingine Sasa si bora nisepe tu Nguvu nazotumia govt wacha nizitumie kujinufaisha binafsi kabla sijachoka
Back
Top Bottom