Recent content by Latifah Abdully

  1. Latifah Abdully

    Msaada wapendwa nina gpa 2.8 accountancy

    Udsm wamechukua mpk gpa za 3
  2. Latifah Abdully

    IFM wametoa second round?

    Namie nayataka ntumie
  3. Latifah Abdully

    Msaada: Grade za chuo alichosoma na za TCU ni tofauti

    Nimejaribu kuangalia hizi grade za TCU na grade za chuo alichosoma mdg wng Ni kuwa zipo tofauti sana. Kwa mfano B ya TCU imeishia 50 wkt ukipata 50 ktk chuo alichosoma yy ni sawa na C afu uyu dogo hajafikisha GPA ya 3. 5 Kulingana na grade za chuoni kwao. So mtu kama huyu TCU wanamsaidiaje?
  4. Latifah Abdully

    Jaribuni kuwa waelewa jamani, G.P.A ya 3.5 ni ya wanaotaka kwenda vyuo vikuu

    All Universities zipo Under TCU na ndio maana wkt Wanafunz waliomba kupitia NACTE ulikuwa hukuti vyuo vikuu ilhali program za degree zipo
  5. Latifah Abdully

    Jaribuni kuwa waelewa jamani, G.P.A ya 3.5 ni ya wanaotaka kwenda vyuo vikuu

    Undergraduate waliokusudia TCU ni wale ambao wanataka kudahiliwa kupitiwa TCU yaani wale ambao ndoto zao ni kuenda University. All universities zipo under TCU but Institutions Like Ifm and others wapo under Nacte na ndio maana ukiyasoma maelezo ya TCU hapo chini wanesema kuwa hzo institution...
  6. Latifah Abdully

    NACTE Imetema, angalieni Profile zenu

    Huku kwa nacte jamani una login vp
  7. Latifah Abdully

    Deadline ya CAS- NACTE applications-2016

    Km haujakuwa na haraka ya kuomba subiri TCU Wafungue system yao
  8. Latifah Abdully

    Deadline ya CAS- NACTE applications-2016

    Wanafunz waliomaliza diploma wanaomba kupitia nacte na mwsho wa kutuma maombi ni trh 31/5 ila badae muda huongezwa kwa lengo la kuweka sawa vile vyuo ambavyo havipo ktk nacte hii ni baada ya tcu kufungua system yao.. ila ukiwa umemaliza diploma na unataka kuenda degree unatakiwa uombe kupitia...
  9. Latifah Abdully

    Deadline ya CAS- NACTE applications-2016

    Nacte wanahusika na viwango vya elimu ya juu
Back
Top Bottom