Hao ma lecture wanaonewa tu, vianafunzi vinavyojishembendua unaviachaje kwa mfano?, ukiwa nje ya ulingo unaweza kuona ma lecture wanakosea, ila ingia kwenye ulecture utaona haya mambo, ni ngumu sana kujiepusha kuwabandua hawa watoto. Kwanza kizazi cha siku hizi kina nyege sana,
Mwambie aweke 50,000 tu kwenye account yake, anipe username yake na password nimuwekee mikeka, hadi kufika Jumapili pesa yake inarudi, sihitaji chochote kutoka kwake, only kumsaidia tu.
Chai iko wapi hapo? unafikiri sisi tumesoma enzi za hizi za school bus?, shule za serikali zamani tulikua tunasoma na watoto wote wa viongozi, na tulikua tunakalia madawati ya watu watatu kila dawati.
1. Wakati nipo darasa la 7, nilishawishi wanafunzi wote wa kiume darasani tusije kwenye kipindi cha jioni ili tukacheze mpira na shule ya jirani bila ruhusa wala taarifa ya shule, ticha kaja jioni kakuta wasichana tu kuuliza anaambiwa tumeenda kucheza game, kesho yake staff nzima ilihamia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.