Recent content by LAPSE RATE

  1. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Nimenunua Samsung galaxy S21+ 5G

    Naomba unijibu kati ya haya: 1. Je, ni Galaxy S21 ultra 5G 2. Umenunua ya ndani ya box au refurbished from Dubai 3. Storage ni 128 GB au 256 GB
  2. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Madogo wa Kiume, Acheni Tabia ya Kuja Inbox Kuomba Hela

    Nami wameshanifikia, waache hizi tabia za kichoko
  3. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kuleta ushahidi ni lini WaMorocco walisema wao sio Waafrika

    Mbona Misri alijiunga na nchi za kiarabu kama UAE n.k
  4. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Hamlali tu kama mimi
  5. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Hamlali tu kama mimi
  6. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

    Pamoja sana
  7. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

    Goziba iko mkoa wa Kagera Wilaya ya Muleba. Unaweza kwenda huko kutokea bukoba kemondo au kuanzia mwalo wa Kyamkwikwi Muleba. Utaanzia kisiwa cha BUMBIRE, then Kerebe na kuishia Goziba. Ni karibu na ukerewe lkn siyo mwanza bali ni Kagera.
  8. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

    Tangu lini kisiwa cha Goziba kikawa sehemu ya ukerewe
  9. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Jina lako JF (ID) lina maana gani na kwanini umejiita?

    Kwenye angahewa letu kuanzia km 0-25, Kila unavyopaa kwenda juu angani ndivyo joto hupungua kwa kiwango cha 0.6°c kwa Kila mita 100. Hii ni kuwakumbusha wanajiografia kwamba dunia ina mambo ya kushangaza.
  10. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Hivi wazee wa Kihaya wana mtazamo gani kuhusu hawa mabinti

    Ee hapo hapo
  11. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Hivi wazee wa Kihaya wana mtazamo gani kuhusu hawa mabinti

    Huo ndio ukweli, mimi nimezunguka Maeneo mengi ya nchi hii. Umalaya upo Kila sehemu, sasa hivi Kila sehemu yenye kasenta kanakochangamka hawakosi wauzaji. Kila Mji utakuta una chimbo la wauzaji na siyo wahaya. Sema wahaya kinachowabrand ni mfumo wao wa biashara wa kuweka permanent place na...
  12. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Hivi wazee wa Kihaya wana mtazamo gani kuhusu hawa mabinti

    Wako wengi, Kuna rafiki yangu alioa hapo bukoba mjini Maeneo ya karibu na Omumwani sec sijui ndo wanaita Nshambya. Waliachana na mkewe na by now yuko dar anauza hiyo kitu. Si kwa kuhadithiwa ni present and confirmed.
  13. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Hivi wazee wa Kihaya wana mtazamo gani kuhusu hawa mabinti

    Unakijua Kijiji cha Buhaya Kiko Wilaya Gani? Maeneo yenye wahaya mkoa wa Kagera ni Muleba, Bukoba vijijini, Misenyi na Bukoba mjini. Katika hayo maeneo Kuna pia mwingiliano wa makabila mengine ya jirani.
  14. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Nani ndo GOAT wa Rhumba?

    Wapi Madillu System?
Back
Top Bottom