Goziba iko mkoa wa Kagera Wilaya ya Muleba. Unaweza kwenda huko kutokea bukoba kemondo au kuanzia mwalo wa Kyamkwikwi Muleba. Utaanzia kisiwa cha BUMBIRE, then Kerebe na kuishia Goziba. Ni karibu na ukerewe lkn siyo mwanza bali ni Kagera.
Kwenye angahewa letu kuanzia km 0-25, Kila unavyopaa kwenda juu angani ndivyo joto hupungua kwa kiwango cha 0.6°c kwa Kila mita 100. Hii ni kuwakumbusha wanajiografia kwamba dunia ina mambo ya kushangaza.
Huo ndio ukweli, mimi nimezunguka Maeneo mengi ya nchi hii. Umalaya upo Kila sehemu, sasa hivi Kila sehemu yenye kasenta kanakochangamka hawakosi wauzaji. Kila Mji utakuta una chimbo la wauzaji na siyo wahaya. Sema wahaya kinachowabrand ni mfumo wao wa biashara wa kuweka permanent place na...
Wako wengi, Kuna rafiki yangu alioa hapo bukoba mjini Maeneo ya karibu na Omumwani sec sijui ndo wanaita Nshambya. Waliachana na mkewe na by now yuko dar anauza hiyo kitu. Si kwa kuhadithiwa ni present and confirmed.
Unakijua Kijiji cha Buhaya Kiko Wilaya Gani? Maeneo yenye wahaya mkoa wa Kagera ni Muleba, Bukoba vijijini, Misenyi na Bukoba mjini. Katika hayo maeneo Kuna pia mwingiliano wa makabila mengine ya jirani.
Hapo kama huyo ni mkurya OG hujashinda. Mark my words, ni watu wa revenge wale. Kukimbia kwake ni kujihami. Utashangaa umechill sehemu anakufata na panga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.