Recent content by LAPSE RATE

  1. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Hamlali tu kama mimi
  2. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Hamlali tu kama mimi
  3. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

    Pamoja sana
  4. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

    Goziba iko mkoa wa Kagera Wilaya ya Muleba. Unaweza kwenda huko kutokea bukoba kemondo au kuanzia mwalo wa Kyamkwikwi Muleba. Utaanzia kisiwa cha BUMBIRE, then Kerebe na kuishia Goziba. Ni karibu na ukerewe lkn siyo mwanza bali ni Kagera.
  5. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

    Tangu lini kisiwa cha Goziba kikawa sehemu ya ukerewe
  6. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Jina lako JF (ID) lina maana gani na kwanini umejiita?

    Kwenye angahewa letu kuanzia km 0-25, Kila unavyopaa kwenda juu angani ndivyo joto hupungua kwa kiwango cha 0.6°c kwa Kila mita 100. Hii ni kuwakumbusha wanajiografia kwamba dunia ina mambo ya kushangaza.
  7. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Hivi wazee wa Kihaya wana mtazamo gani kuhusu hawa mabinti

    Ee hapo hapo
  8. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Hivi wazee wa Kihaya wana mtazamo gani kuhusu hawa mabinti

    Huo ndio ukweli, mimi nimezunguka Maeneo mengi ya nchi hii. Umalaya upo Kila sehemu, sasa hivi Kila sehemu yenye kasenta kanakochangamka hawakosi wauzaji. Kila Mji utakuta una chimbo la wauzaji na siyo wahaya. Sema wahaya kinachowabrand ni mfumo wao wa biashara wa kuweka permanent place na...
  9. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Hivi wazee wa Kihaya wana mtazamo gani kuhusu hawa mabinti

    Wako wengi, Kuna rafiki yangu alioa hapo bukoba mjini Maeneo ya karibu na Omumwani sec sijui ndo wanaita Nshambya. Waliachana na mkewe na by now yuko dar anauza hiyo kitu. Si kwa kuhadithiwa ni present and confirmed.
  10. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Hivi wazee wa Kihaya wana mtazamo gani kuhusu hawa mabinti

    Unakijua Kijiji cha Buhaya Kiko Wilaya Gani? Maeneo yenye wahaya mkoa wa Kagera ni Muleba, Bukoba vijijini, Misenyi na Bukoba mjini. Katika hayo maeneo Kuna pia mwingiliano wa makabila mengine ya jirani.
  11. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Nani ndo GOAT wa Rhumba?

    Wapi Madillu System?
  12. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dkt. Godwin Mollel: Watu wa Usalama acheni bhangi! Nguvu mnayotumia kwenye siasa itumike kuzuia wizi kwenye miradi

    Atakuwa hajasoma kitabu kinaitwa "HOW TO HUG THE PORCUPINE"
  13. LAPSE RATE

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza leo nimepigana

    Hapo kama huyo ni mkurya OG hujashinda. Mark my words, ni watu wa revenge wale. Kukimbia kwake ni kujihami. Utashangaa umechill sehemu anakufata na panga.
Back
Top Bottom