Habari wana jamvi, nimekua nikikutana sana habari za hawa watu, lakini sijuwi nikina nani, chakushangaza leo wakati nasoma lyrics za luck dube kwenye nyimbo ya freedom fighter nikakutana tena na majina haya, mwenye kujua hostoria yao au mwenye kitabu chochote naomba anisaidie...