Dah! Inawezekana make nasisi waafrika tunaasili yetu lakn mbona mtu akiwa na mapepo tunaomba kupitia hizi dini tulizoletewa Na yanapiga kelele mpaka yanakosa Amani na kutii amri kwa jina la yesu na yanaondoka? Hapo imekaaje mkuu
Sawa umesema kweli Ila wapo baadhi ya wanawake hupendezwa Sana wanapofuatwa inbox. Wanapenda Sana kushobokewa Ila wewe ni Kama dada mpaka kaacha kupost picha zake nzuri nzuri kwenye Fb ili kuepukana na usumbufu anaoupata inbox nawengine wanamtumia namba pasipo yeye kuwaomba. Hongera sana...
Kama Mimi, kuvaa navaa lakn so kivile yaani halafu Sina mengi kivile kujikosha Kosha yaani Niko normal Sana. Sasa kawaida ya baadhi ya dada zetu kudharau. Dada mmoja alinichukulia Kama hivyo anavyoniona hakuwahi kunijali Wala kunithamini katika vijana Basi Mimi aliniona Kama mbwa tu vile halafu...
Kwangu Mimi hayo ni mengi mno. Yaani mambo ya namba hayo hata nilikuwa sifahamu hata kidogo. Ko hata baadhi ya manabii hasa wale wanaotabiri yajao au kuona yaliyopita inawezekana isiwe nguvu ya ki Mungu eti?
Yaani ukikaa kidogo tu, habari ni geita matukio mbali mbali Geita, tulizoea mkoa fulani Sasa sio kule Tena saivi ni geita. Kama kulivyokomeshwa kule Basi serikali itilie mkazo katika mkoa huu wa geita make umezidi Sasa.
Kabla ya mahusiano kukolea nilazima ukweli ukamilike kwanza bila ya kuacha Jambo lolote then Sasa mahusiano yanaweza kolea au kughairisha kabisa Ila mkidanganyana Basi hapo matokeo yake huwa ni hayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.