Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,888
Watu wa humu hasa wanaume mmjue kwamba mtu akitoa post au akikoment jamboo sio anawahitaji .
Sijui kwa wengine ila kwangu mimi HAPANA siitaji mtu wala nini.
Shida ya watu wa humu ni mtu tu yupo inbox mnachart upupu wala hamuonani na wala hamuwezi kufika mbali.
Saivi maisha nikuonana nasio kuota .
Mtu anaota maisha nakumuamini hilo hapana.
Maisha nikumpata mtu mnayeonana.
Kwahiyo kwangu mimi siitaji mwanaume humu .
Samahanini.
Sina time na wanaume wa humu mujue .
Sababu ni hizi.
Nimekuwa na nimeelewa kuwa wanaume wamitandao sio dili.
Comment yangu ni hii kuna wanaume humu ndani wanadhani bila wao hatuishi.
Hadi wao tu waende pm ,hapa silishwi nanyie , wala chochote watu hawawategemi nyie.
Muwe na hela , muwe masikini, mkija humu jueni sio kila mtu anajiuza humu au anawataka humu .
Watu wanamaisha yao na watu wanaishi kwakutumia nguvu zao.
Halafu jingine muelewe hivi maana yaani mnajioona eti bila nyie hatuolewi. Au hatuliwi mpaka tuende pm mje mtule mnakaushenzi kenu kakijinga. Visheria vyenu.
Vya kijinga sana eti walionaaccount humu wanawategemea watu vuteni bangi tu.
Hapa watu wanamaisha yao halisi .
Umri sio tatizo tatizo bwana tatizo je unamfahamu vizuri??
Unamchukulia tu eti malaya kalala nawewe??
Hapo unanjaa hujala muda ila unacomment upupu tu .
Eti ili upate kiki kwa wanajamii umeongea upotolo.
MB umegongea kwa mshakaji halafu unaingia humu unaongea ijioni hujui unalala wapi.
MAISHA NI MAGUMU HUMU HAPAKUPI HELA KAMA YOU TUBE .
HUMU NI UNAPOTEZA MUDA TU.
Sijui kwa wengine ila kwangu mimi HAPANA siitaji mtu wala nini.
Shida ya watu wa humu ni mtu tu yupo inbox mnachart upupu wala hamuonani na wala hamuwezi kufika mbali.
Saivi maisha nikuonana nasio kuota .
Mtu anaota maisha nakumuamini hilo hapana.
Maisha nikumpata mtu mnayeonana.
Kwahiyo kwangu mimi siitaji mwanaume humu .
Samahanini.
Sina time na wanaume wa humu mujue .
Sababu ni hizi.
Nimekuwa na nimeelewa kuwa wanaume wamitandao sio dili.
Comment yangu ni hii kuna wanaume humu ndani wanadhani bila wao hatuishi.
Hadi wao tu waende pm ,hapa silishwi nanyie , wala chochote watu hawawategemi nyie.
Muwe na hela , muwe masikini, mkija humu jueni sio kila mtu anajiuza humu au anawataka humu .
Watu wanamaisha yao na watu wanaishi kwakutumia nguvu zao.
Halafu jingine muelewe hivi maana yaani mnajioona eti bila nyie hatuolewi. Au hatuliwi mpaka tuende pm mje mtule mnakaushenzi kenu kakijinga. Visheria vyenu.
Vya kijinga sana eti walionaaccount humu wanawategemea watu vuteni bangi tu.
Hapa watu wanamaisha yao halisi .
Umri sio tatizo tatizo bwana tatizo je unamfahamu vizuri??
Unamchukulia tu eti malaya kalala nawewe??
Hapo unanjaa hujala muda ila unacomment upupu tu .
Eti ili upate kiki kwa wanajamii umeongea upotolo.
MB umegongea kwa mshakaji halafu unaingia humu unaongea ijioni hujui unalala wapi.
MAISHA NI MAGUMU HUMU HAPAKUPI HELA KAMA YOU TUBE .
HUMU NI UNAPOTEZA MUDA TU.