Recent content by Land of Opportunity

  1. Land of Opportunity

    Naomba msaada wa tractor kuanzia 50 hp

    Kiongozi habari za wakati huu Naomba uzoefu wako mkuu, kati ya Massey Ferguson na New Holland ipi ni first choice kwako? Kama ni Massey Ferguson ni number ngapi, HP ngapi? na je ni kweli 4WD ya massey inafanya kazi muda wote au inaweza kuwekwa na kutolewa kama gari ya kawaida? Vipi New holland...
  2. Land of Opportunity

    INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Kama kwa bei ya jumla sh ngapi? Nahitaji 6pcs Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Land of Opportunity

    INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Star - X - TV 43 inches ni sh ngapi kiongozi Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Land of Opportunity

    INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Habari kiongozi? TV za 43 inches kampuni ya startimes ni sh ngapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Land of Opportunity

    Maandishi ya hii barua yaulegeze moyo wako ili ata nikilala mauti nipate kusamehewa

    Umenikumbusha machungu ya kuachwa na mpenzi wangu niliyempenda sana nikiwa collage mwaka wa pili. Niliumia sana kwa jinsi alivyonitenda. Ila yote mipango ya mungu. Pole sana kwenu nyote maana mnapitia maumivu kwa nyakati tofauti.
  6. Land of Opportunity

    Kutokuwa na maandalizi ya Rais ajaye toka CCM maana yake ni nini?

    Rais ajae ni Seleman Jafo au Waziri mkuu wa sasa Mr. Kassim Majaliwa. Akiwa Jafo itapendeza zaidi maana Kassim ni mkali kupitiliza
  7. Land of Opportunity

    Wahitimu wengi wa UDSM mna dharau na kujisikia sana lakini mna Maisha magumu

    Daaaaaah mkuu nimecheka sana kwa kweli, mpaka mbavu zimeuma. Japo mkuu umesahau shule hawafundishi matumizi ya mshahara au pesa unayoipata. So matumizi yanatofautiana kulingana na priorities. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Land of Opportunity

    Wahitimu wengi wa UDSM mna dharau na kujisikia sana lakini mna Maisha magumu

    Acha kufaninisha UDSM graduates na vitu vya ajabu wew Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Land of Opportunity

    Bei ya Mashine za Kukoboa na Kusaga

    Safi sana mkuu. Utakuwa umewakomboa vijana wengi mkuu na hili janga la ajira. Unafanya vyema sana mkuu. Ubarikiwe sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Land of Opportunity

    Bei ya Mashine za Kukoboa na Kusaga

    Mkuu we ni wa mapema sana. Safi sana, nimefurahi ulivyojibu mapema mkuu. Barikiwa sana mkuu. Utakuwa umesaidia wengi sana mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Land of Opportunity

    Bei ya Mashine za Kukoboa na Kusaga

    Mkuu Mteule, Naomba utupe location ya hawa Dealers wa vifaa vya umeme tafadhali (MEM), Pia mawasiliano yao kama unayo ili kurahisisha kazi ya kuwapata. Itakuwa vyema pia kama ukatupa update ya price kwa sasa ikoje, maana ni kipindi kirefu kimepita tangia uandike kwenye hii mada Natanguliza...
  12. Land of Opportunity

    Bei ya Mashine za Kukoboa na Kusaga

    Mkuu Mteule, Naomba utupe location ya hawa Dealers wa vifaa vya umeme tafadhali (MEM), Pia mawasiliano yao kama unayo ili kurahisisha kazi ya kuwapata. Itakuwa vyema pia kama ukatupa update ya price kwa sasa ikoje, maana ni kipindi kirefu kimepita tangia uandike kwenye hii mada Natanguliza...
  13. Land of Opportunity

    Biashara ya Kuchakata na Kufungasha Unga wa Mahindi (Sembe na Dona)

    Habari ndugu. Watu wengi wanaulizia mrejesho wa hii project yako. Itakuwa vyema sana ukatoa mrejesho kwa wadau Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom