Habarini wanaJF,
Kwanza Nafurahi kuwa mwanachama mpya Wa JF japokuwa ni Mtembeleaji mzuri Wa JF kwa mda mrefu,
Elimu yangu ni kidato cha 6,Changamoto ni kukosa Fani/Taaluma tofauti na elimu yangu.Naombeni Ushauri ni Field ipi Naweza Kuomba na Kukubaliwa,kuhusu passion yangu ni Kufanya Kazi...