Tukisema hatuna dhambi twajidanganya wala kweli haipo ndani mwetu, ila tukitibu yeye ni mwaminifu atatusamehe maovu yetu...
Binafsi naamini hakuna siku ambayo inaweza pita bila mwanadamu kutenda dhambi (tukiondoa unafki) kwa matendo, maneno au hata kwa kuwaza...na kuna dhambi nyingine unaweza...
Mbinu kubwa ya shetani ni kiwapandikizia watu roho ya woga (hofu) Yesu alipo mwambia petro njoo petro alitembea juu ya maji (hofu ya kuzama haikuwepo)
lakini ghafla alipoona mawimbi alipata hofu (woga) mwishoe akazama.
kilicho mzamisha petro sio mawimbi ni woga
Neno la MUNGU (Kristo) lina...
Mara ya mwisho kumuona van dame alienda pale sinza makaburini kwa jamaa wa bajaji kugongea wale jamaa kumuona wakajichenga wakaacha bajaji zao ...dame kufika pale akagungua wamemkimbia kilichofata
alikata waya za bajaji kama tano hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.