Recent content by Lamivudine

  1. Lamivudine

    Kanifumania week ya pili sasa matendo yake kwangu yananipa wasiwasi

    Pasha,nigel kafa na hadije Mpe muda ila usipunguze mapenzi kwake,jitahidi kumuekeza jinsi gani unajutia,pia msifie sanaa.. Mwisho atakusamehe ila hatosahau.
  2. Lamivudine

    Msaada kwa tuliokusanya vyeti original ambavyo bado vipo Baraza la Mitihani

    Wanadai ukaguzi unaendelea...inatia hasira sana
  3. Lamivudine

    Msaada kwa tuliokusanya vyeti original ambavyo bado vipo Baraza la Mitihani

    Mbaya zaidi hatukupewa barua yoyote...na wengi hawakutoa copy.lile zoezi lilituchanganya wengi.nilienda lalamika kwa mwajiri ndo akanipa copy zilizopo kwenye faili nikatoe copy.. Sasa sina hakika kama ukipata ajira mahali pengine watapokea copy.
  4. Lamivudine

    Msaada kwa tuliokusanya vyeti original ambavyo bado vipo Baraza la Mitihani

    Hata sielewi,Wamevishikilia vyeti na havina shida,hawaelewi vyeti ndo maisha ya mtu.
  5. Lamivudine

    Msaada kwa tuliokusanya vyeti original ambavyo bado vipo Baraza la Mitihani

    Habari wandugu,mnamo mwaka juzi zoezi la uhakiki wa vyeti lilianza na ambao tulikuwa masomoni kutokana na kuchelewa ilitulazimu tukusanye vyeti original kwa mwajiri ambae nae aliviwasilisha baraza la mitihani la taifa. Sasa ni yapata mwaka na miezi hatujarudishiwa vyeti hivyo na kila...
  6. Lamivudine

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Nahamia kwa Magufuli rasmi...UKAWA mnanichosha..poorly organised..shame on you
  7. Lamivudine

    Kwa Wapenzi wa Nyimbo za Rock

    The fray,daughtery,matchbox 20,three doors down,
  8. Lamivudine

    Tatizo la Muwasho Sehemu za Siri: Chanzo, Matibabu na Namna ya Kujikinga

    Huo ugonjwa maarufu sana pale mabibo hostel,tulikua tunauita pumbu erosion (PE) tafuta dawa inaitwa scaboma(lindane) ya kupaka itakusaidia.
  9. Lamivudine

    Josephat Gwajima akana utajiri wake

    Namuonea sana huruma!! Serikali hii raisi hana meno..
Back
Top Bottom