Kuna kabinti nilikapenda sana nilikuanacho mwanza so mishe mishe ikabidi nije dar mzee nikajipanga nikatuma nauli kakaja fresh baada week 3 kana anza kusumbua nataka kurudi home mi ni mkazia cna nauli akasema anayo duh fresh msindikiza akasepa niulimia sana tangu siku hiyo atuna mawasiliona...
Dah mi ilitokea nileenda kwa jamaa home kwao piga story mara txt ikaingia kutoka mwamba nilikua tume panga nyumba moja maana tulipika wali ulibaki so nikasema ntaupasha kesho ikabidi nikatae kula pale niketemea gheto cha kula kipo dah nilipo fika gheto nikakuta chakula kime chacha dah niliumia...
Weka kwenye boda boda mpe dereva mwenye familia mpe mkataba alafu nyingne endesha mwenyew kwa mwezi 520k au zaidi usiope ndani miezi 9 utafikia melengo yako kumbuka uvumilivu mkubwa unatajika kufikia malengo watu jenga kupitia boda boda