Recent content by Lameck Sebyga

  1. L

    Shekhe Ponda aachiwa huru

    Hata hivyo Sheikh Ponda amehukumiwa kifungo cha nje mwaka mmoja kutokana na utetezi wake kuonyesha kulikuwa na nia ya kutenda kosa Kosa: Shitaka la Uchochez
  2. L

    Wabunge muondoeni spika

    Aisee Haki ya nani hii nchi noma na nazidi kuamini Hakika Fisadi nchi hii hafugwi Spika kanishangaza sana pia na serikali yake, sasa kesho Bunge lina harishwa mpk mwakani April na huku watu wamekula mtonyo na hakuna cha kuwafanya. Hii nchi kuna wanayoijua na kufanya wanachotaka. Si tutalia njaa...
  3. L

    JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

    Ni aisee hawa watu nataka waende Segerea this time. Wameshakula hela zetu sana .Mara Rada, Mara EPA, Richmond, makaa ya mawe kiwila. Now Escrow na wako mitaani tu. Hapana aisee tumechoka
  4. L

    Ripoti ya PAC yaibwa Bungeni mpaka ya CAG iliyoko Dar!

    Aisee nyie viongozi wetu. Inabidi sasa mjue wazi kuwa kwa suala hili mmetuuzi na kutukera kupita maelezo. Na itabid kwanza CCM itoke madarakani kwa muda Wajisafishe ndio warudi huu Sasa ufala. Wamepiga hela mingi sana aisee. Daah
Back
Top Bottom