Recent content by Lambert Mende

  1. Lambert Mende

    Kwa kidato cha nne mtakaofanya mtihani Oktoba, ukienda diploma za ufundi umeumia

    Tukaangalie mara ngapi?mpaka tunaoandika hapa,tumeshaona na kusoma,kupata gpa ya 3.5 sio kazi rahisi hata kidoo.
  2. Lambert Mende

    Kwa kidato cha nne mtakaofanya mtihani Oktoba, ukienda diploma za ufundi umeumia

    NACTE wanasimama wapi?au ndio wanakufa kimya kimya?maana wao ndio waliokuwa wasimamizi wakubwa wa vyuo vya ufundi,sasa kwa mtafaruku huu sijui nini kinaendelea.
  3. Lambert Mende

    Kwa kidato cha nne mtakaofanya mtihani Oktoba, ukienda diploma za ufundi umeumia

    Mkuu @liliwayne Tunawasaidia vijana,elimu ndio kila kitu, huku kimeshabana na uwezekano wa kupata hayo madaraja ni Mdgo sana,njia sahihi ni huko kidato cha tano.
  4. Lambert Mende

    Kwa kidato cha nne mtakaofanya mtihani Oktoba, ukienda diploma za ufundi umeumia

    Napenda kuwashauri tena na tena vijana walioko kidato cha nne na ambao wanategemea kufanya mtihani wa kidato cha nne mwezi Oktoba, wakati wa kuchagua nafasi za kuendelea na masomo yao, wawe makini sana, kwenda kidato cha sita ndio njia rahisi ya kuweza kusoma elimu ya juu. Kama una ufaulu mzuri...
  5. Lambert Mende

    RC Makonda hakukata tamaa kwenye safari yake ya mafanikio

    cc Lizaboni Nafikiri umeiona hii,ni Siasa tu,huu mchezo hauhitaji hasira.
  6. Lambert Mende

    TANESCO mradi wa umeme Buyuni Block 17, 18, 19 na 20, Mkandarasi anajenga jinsi anavyotaka yeye

    Pole sana,ssa kilichokuleta kuja kuchangia hapa ni nni?na hzo residence zako zinatuhusu nn ssa!
  7. Lambert Mende

    TANESCO mradi wa umeme Buyuni Block 17, 18, 19 na 20, Mkandarasi anajenga jinsi anavyotaka yeye

    Watu wana matatizo halafu unaleta kejeli,kaa na vi bundle vyako!
  8. Lambert Mende

    TANESCO mradi wa umeme Buyuni Block 17, 18, 19 na 20, Mkandarasi anajenga jinsi anavyotaka yeye

    Hapa ulikuwa unamaanisha nn kama sio kutetea vichwa maji wenzako,buyuni hakuna ki la za,wote waelewa huku.
  9. Lambert Mende

    TANESCO mradi wa umeme Buyuni Block 17, 18, 19 na 20, Mkandarasi anajenga jinsi anavyotaka yeye

    Hakuna ki la za buyuni labda tukupe taarifa, ratiba ya kutengeneza inaonyesha greda litakuja kutengeneza barabara ya Taliani hadi nyumba za pspf kwa kwa siku ambazo zimeshapita,ie 12 hadi 13 mwezi wa saba,barabara ya Taliani hadi hzo nyumba ni kama km 4 hadi tano, na ubovu wa hyo barabara sio...
  10. Lambert Mende

    TANESCO mradi wa umeme Buyuni Block 17, 18, 19 na 20, Mkandarasi anajenga jinsi anavyotaka yeye

    Naamini ataifanyia kazi,hatuwezi kukaa na haya mapori muda wote,unakaa mji giza likiingia unaogopa hata unyasi
Back
Top Bottom