Recent content by lamaa

  1. lamaa

    Ifahamu nchi ambayo haina maskini hata mmoja, wote ni matajiri

    Profesor jay alisema wabongo wengi wanataman wangezaliwa Blunei Kwenye Bongo Dar es salaam
  2. lamaa

    Msaada kuhusu mtoto kusumbua usiku kucha

    Nenda pharmacy pia nunua gripwater Ni dawa ya maji kwa watoto wachanga na ni normal tu kutumia ..inatoa ges Afu kiasili kama unakaa na majan yale si tunaita milumbalumba japo ina majina mengi Mama ake amchemshie japo vijiko viwili kwa siku atakua normal
  3. lamaa

    JamiiForums Usiku wa manane

    Time imeenda sana mama
  4. lamaa

    Serikali tunataka majibu juu ya uwepo wa mgodi wa siri katikati ya msitu huko Kitunda

    Asee Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
  5. lamaa

    Ushuhuda wa waliowahi kutusaidia tukapotezana nao kabla hatuwalipa fadhila

    Op kikwete hyo Nilikuepo hapo miaka 50 ya muungano... Wazee wa Magagula lusonga..chipole mission .. Uelekeo Kwa kusekwa. Sikukaa sana baada ya kuapa tuu kiangaiko ilifunguka na sis nikiwa teenager Daaa nimepamis songea
  6. lamaa

    Ukiona Dalili hizi jua uzee ndio huo unabisha mlangoni

    Aliimba nature Juma nature voice......,,mdogo wangu huku tulipo name utakuja tuu
  7. lamaa

    Ukiona Dalili hizi jua uzee ndio huo unabisha mlangoni

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  8. lamaa

    Nawezaje kurudiana naye?

    Huyo Jamaa Ana miaka sita ya kazi ndo aoe Bila shaka ni soldier Sema Nini we usikilize moyo wako
  9. lamaa

    M23 wailaumu TPDF kutumia silaha nzito za kivita kulinda amani DRC

    BM21 Zinafujo Sanaa kelele kama zote lakin ikianza kuponda ni kama cherean Nakubali wanangu wa 44,jukum lenu hili
  10. lamaa

    Makonda anaeneza ukabila? Ni nini kinamfanya aongee kisukuma huko usukumani?

    Wewe ongea nawe kisandawe Kwan umezuiliwa Anyway masuala ya ukabila ni kama unatembea juu ya mayai lazima yapasuke Achana na kupondea kabila za watu
  11. lamaa

    Naombeni jina la mtoto wa kike

    Chukua la binti angu *Cleopatra *
Back
Top Bottom