Recent content by lamaa

  1. lamaa

    Je, Captain Tesha ni nani?

    Ni kweli Ni Askari japo last time alikua leftenant when we meet 603 air force Dar es salaam:
  2. lamaa

    Kabila la Wameru ni watu wabinafsi na wakorofi sana

    Mi nilizaa na mmeru akang'ang'ania kuishi nami ni kama 2 years hiv asee nilishindwa kila siku vita afu uchoyo Sasa ndo kwao familia inamizozo Nyumba niliokaa aligombana na wapangaji wote Kwa uzuri wamejaaliwa na nashukulu kanizalia Binti mmoja mzurii sana .. Lakin nilimuacha asee ..maana...
  3. lamaa

    Nicole Joy Berry mrembo aliyejulikana kwa kilimo cha vitunguu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za utapeli

    Ndo yeye asee we fuatilia historia yake ya sanaa😄 na sahiv utu uzima nin
  4. lamaa

    Nicole Joy Berry mrembo aliyejulikana kwa kilimo cha vitunguu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za utapeli

    Ndio sema alikua bado mdogo na surgery ya makalio na midomo kabla hapo
  5. lamaa

    Nicole Joy Berry mrembo aliyejulikana kwa kilimo cha vitunguu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za utapeli

    Kama unaikumbuka ile nyimbo ya sumalee hakunaga yule video kile kidem jamaa alikua anakibembeleza na kucheza nako ndio huyu kwa sasa"
  6. lamaa

    Maisha yangu ya ndoa ni tofauti na nilivyoyatarajia

    Nakuelewa unachopitia pole sana
  7. lamaa

    Kuna umuhimu body spray na perfume zisambazwe bure kama kondomu maana kwenye madaladala humu tutakufa

    Uko sawa kabisa yaan watu wananuka ......hata kama ni umasikin lakin ndoo ya maji...na sabun ni shiling ngap ....na vi pafyum mpka buku vipo ama deodorant..... Bora wadada sio sio wanaume inatisha
  8. lamaa

    Wanawake wanene (vibonge) piteni hapa mchukue maua yenu

    Sio wote mkuu uwez amin mim spend mwanamke bonge yaan akiwa mwembamba hata tak* lisiwepo lakin hana tumbo kipotabo mamaaa nahama kabisa kihisia na sichok....hata kitandan Yaan spend vibong vinasumbua kwa bed ....lakin slim girl naweza mbeba hata na mech ikiendelea:
  9. lamaa

    Watanzania fuatilieni kinachoendelea DRC. Hali kwa majirani zetu ni mbaya, ya hatari sana

    Nimetoka hapo peacekeeper lakin withn few days nitalud tena hali inatia simanzi sana Lakin wananch wanaish kwa iman kubwa na peacekeeping.......Za UN,Sadic,monusco Lakin kwa mikakati hawatoweza ikamata kivu yote .......
Back
Top Bottom