Tumewazoea,mtasema sana cc tunaamini Moira ni dk 90 penati uzembe 2 was wachezj.Tumejipanga sawa kucheza ndani ya dk hizo na mshindi ni Timu Eddo weweeeeee.
Acha majungu na unafki,anayegombea anajua kampeni zikoje matumiz ya PESA hayaepukiki.Imetosha kumchafua Lowassa tunajua Mungu c mchoyo tumeomba Lowassa awe rais sasa tunasubir mapenzi yake Mungu mwenyewe.Ya binaadamu hatuyajali ni maneno 2 Hata kwenye kanga yapo.
Mwiz alikuibia nn,muogope Mungu kushabikia lowassa mwiz-kila lenye mwanzo lina mwisho punguzeni maths na lugha za kashfa kwani EL akiwa raid wewe unapungukiwa na nn
Tumuombee M.Mungu,binadamu tumetamani iwe hivyo.Tunakabidhi suala hill kwake aweze kulikamilisha-2kumbuke Mungu cyo mchoyo kila unachoomba hutoa.Tumeomba kwaajili ya EL
Wa kumuombea ni mumewe ac endelee kuangamiza wasichana wasio na Hata makusudi akijifanya mlokole.Tuna skendo take yote mkononi,anzia kwa binti wa kisukuma waliyekutana kwa nabii flora.jinc walivyokwenda kupima alifanyaje majibu yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.