Kwanza ondoa ile PAROKIA pamoja na safu ya nzima ya wakristo ambao wamewekwa pale NECTA kwa lengo moja tu kuhakikisha wanawafelisha vijana wa kiislam, ukifanya hivyo ndo utajua weledi wa watoto wa kiislam
Leo hii yamekuwa hayo, elimu inaonekana sio issue coz mhusika ni ......!!!!, Ah! wasomi hao. Jamani hao ndio watu kila mara wanatamba huku na huko kuwa "SISI TUMESOMA", kumbe elimu yenyewe ndio hiiiiiiii??? Lakini sishangai hata mwenyekiti wetu wa chama (CHADEMA) ni DJ wa madisco hapa nchi thus...
Huko jimboni kwenu alishawaaga toka tarehe 31/10/2010, hana alichosahau. Kazi ya hawa jamaa ni kupiga kelele tu na maandamano yasiyo na tija. Muda mwingi anashinda KANISANI pale Kibangu anaombea watu. Katibu wake mkuu (KATIBU MKUU WA CHADEMA) ni PADRI, unafikiri MNYIKA atakuwa nani? Yupo...
Umejitahidi sana kuandika maelezo marefu ukidai ni barua toka huko ulikoeleza. Ila jambo la msingi ni kwamba huna haja ya kutunga barua au kutoa maneno yeyote ambayo yanaonyesha upogo wa ufahamu. Jua kuwa hata kama barua hiyo ni ya kweli imeandikwa na huyo aliyesaini hapo chini, bado ukweli wa...
Mmezoea ubaguzi, uchoyo na roho mbaya thus why mnakuja na hoja ambazo hazina kichwa wala miguu. Jengeni hoja za msingi acheni kutapatapa nyie WASOMI VIPI??????????
Vipi akina PHILIPO MULUGO ambao wanatutia aibu nje ya nchi? Na ndivyo mlivyo mmjaa sana kwenye mataasisi ya serikalini na binafsi hata mnachokifanya hakionekani, mmeng'ang'ania madaraka hali ya kuwa elimu zenu za kupendelewa na NDALICHAKO.
Kumbe huo ndo undani wao? Duh!! inabidi utuambie ulitumia nyenzo gani kufanya utafiti kama huu unaoonyesha umahiri wa mnyika na henche hasa wakiwa ni wapiga POROJO wakuu wa chadema. Ujasiri na umahiri wa mtu si kelele na maneno mengi bali ni utendaji wao wa kazi za kuwaletea wananchi maendeleo...
Prof. Lipumba hahitaji umaarufu TANZANIA, tayari yeye ni maarufu sana DUNIANI, Dunia inamtambua Pro. Lipumba ni nani, wale wazungu unaowaona kwamba wana akili nyingi sana wanamkubali Prof. Lipumba. Hayo makanisa mmechoma wenyewe mnawasingizia waislam. Muislam , makanisa na nyama ya nguruwe wapi...
Mawazo finyu na yamekaa kichukichuki, wewe kama si mtoto wa MCHUNGAJI basi utakuwa mtoto wa PAROKO. Siku zote usiangalie ulipoangukia angalia ulipojikwaa. Waislam ni watu wavumilivu sana, ila wanapotaka kuongea haki basi wanaambiwa wachochezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.