Comment za watu wengi humu zinasikitisha sana,anyway MUNGU atayafanyia kazi maneno yao hao wanaoona mleta uzi ni mbea,nowdayz vitendo viovu havikemewi tena bali vinasifiwa,hatari sana.
Watoto wa kizazi hiki tabu tupu,kuombwa hela eti inaanzishiwa uzi,nyie mods mnaharibu jukwaa kwa kuachia upuuzi kama huu,haiwezekani eti jitu zima ukose jibu la jambo la kitoto kama hilo
fedha zipo huyo dc sio chizi kuna watu huko maofisini wanapenda kunyenyekewa sana,wake huko ili adabu iwaingie kidogo,nna uhakika wakitoka huko chini ya saa 12 hela zimelipwa
Hapo hakuna ndoa ngoja huyo manzi amalize chuo then watu wenye hela zetu tumpe nafasi ofisini kwetu then utaona kitakachotokea,saa hivi unadanganywa tu dogo,hebu soma kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.