Kuna kijana mmoja aliwahi kunipigia simu mwaka 2011 akinitaka tuwe marafiki. Awali nilidhani ni msichana kwa jinsi alivyokuwa akilainisha sauti. Aliniambia anataka tuonane Tandale. Nilikwenda kesho yake lakini hatukuonana. Lakini aliendelea kunisumbua kila siku kwa sms za mapenzi.
Sikh mmoja...
Nashawishika kukuita punguani kama alivyofananisha Dr. Watson. Sikatai kwamba Dr. Slaa kaeleza hoja zake, lakini timing yake haikuwa nzuri. Kwa nini asingetoa tamko lake tangu alipoacha siasa July 28? Kwa nini iwe sasa ambao wenzake wako kwenye kampeni? Au anataka Chadema wamwengue Lowassa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.