Recent content by Lakuchumpa123

  1. L

    Huyu shoga ananifuatilia tangu mwaka 2011

    Kuna kijana mmoja aliwahi kunipigia simu mwaka 2011 akinitaka tuwe marafiki. Awali nilidhani ni msichana kwa jinsi alivyokuwa akilainisha sauti. Aliniambia anataka tuonane Tandale. Nilikwenda kesho yake lakini hatukuonana. Lakini aliendelea kunisumbua kila siku kwa sms za mapenzi. Sikh mmoja...
  2. L

    Morogoro: Magufuli - Elimu Bure kuanzia Msingi hadi Kidato cha Nne; Makamba awavaa Lowassa, Sumaye

    Kama ni mtendaji si angebaki kufanya kazi aliyosomea? Mtu ameingia kwenye siasa mwaka 1995 hadi leo hajui siasa za vyama, halafu anataka tumpe urais?
  3. L

    Dr. Slaa amfunika Lowassa kwenye media

    Kama ni hivyo mwambieni asifanye kampeni ajifungie tu, atajikuta ikulu
  4. L

    Dr. Slaa amfunika Lowassa kwenye media

    Dk. Magufuli hasikiki kabisa, sijui kapotelea wapi
  5. L

    Dr. Slaa amfunika Lowassa kwenye media

    Mada haihusu wagombea urais, na Lowassa ni nani?
  6. L

    Mahakama ya Ufisadi-UKAWA wakwepa hoja hii ya Magufuli

    Kweli hiyo mahakama ianzishwe na iwakamate waliojiuzia nyumba za serikali
  7. L

    Inauma lakini so far nimeprove kuwa ni kweli

    Nashawishika kukuita punguani kama alivyofananisha Dr. Watson. Sikatai kwamba Dr. Slaa kaeleza hoja zake, lakini timing yake haikuwa nzuri. Kwa nini asingetoa tamko lake tangu alipoacha siasa July 28? Kwa nini iwe sasa ambao wenzake wako kwenye kampeni? Au anataka Chadema wamwengue Lowassa...
  8. L

    Unaweza kuhisia hapa ni wapi?

    Ni waziri wa barabara
  9. L

    Unaweza kuhisia hapa ni wapi?

    Kazi ya Magufuli hiyo
  10. L

    Wiki ya kwanza ya mwezi Septemba, UKAWA watapatwa na mtikisiko Mkubwa sana ambao haujawahi kutokea

    Kumbe huo mtikisiko ni hotuba ya Dr. Slaa? Heheheheheeeeee, andaeni kombora lingine, hilo limehchacha
Back
Top Bottom