Recent content by Laiswa

  1. L

    JamiiForums Tanzania KERO Uhamiaji wameondoa uwezekano wa kuangalia ombi la passport kwenye website yao?

    Kuwa mpole angalia kile kirisiti ulichopewa uliambiwa urudi lini ?
  2. L

    JamiiForums Tanzania KERO Wahitimu wa Industrial Engineering Management ya Mzumbe University tunakosa ajira

    Kwahiyo nyie mnafanya kazi kama ipi hapo ? 1. Production manager 2. Production Enginer 3. Project manager
  3. L

    JamiiForums Tanzania Usiache kununua ardhi. Niliyojifunza Goba sikufanya makosa Madale

    Kwa budget ya mil 12 hapa Dar unapata wapi ? Isiwe njia ya Temeke na Kigamboni tu
  4. L

    JamiiForums Tanzania Nimepoteza kibati cha chasis number za gari

    Toyota IST
  5. L

    JamiiForums Tanzania Nimepoteza kibati cha chasis number za gari

    Habarari wakuu, Leo nikiwa nakagua gari nimegundua kile kibati cha chasis number hakipo. Nimejaribu kulizia kwa fundi wangu niliponyoosha body na rangi hajakiona. Je nawezaje kukipata ama kuchonga chasis number zingine ?
  6. L

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua Gari aina ya IST

    Hapana Mkuu , kama unahitaji kweli nikuelekeze home ukaichek imepaki tu.
  7. L

    JamiiForums Tanzania Ni wiki moja tangu nimalize chuo, ila nimeanza kupauka ni Nini hii😔

    Hali hii huchukua muda kidogo kupona ni jambo la kawaida usiogope
  8. L

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua Gari aina ya IST

    Nina IST old DV nnataka 11.5 TU , ruksa kukagua na fundi mpaka mtosheke
  9. L

    JamiiForums Tanzania Kusajili gari lenye spare parts za kuunga unga

    Wewe uitwe mwizi then uwe mnyenyekevu Mkuu ?
  10. L

    JamiiForums Tanzania Kusajili gari lenye spare parts za kuunga unga

    Wakuu, Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi nilinunua body ya gari x , nikaunga unga na spare parts tofauti (engine , gear box nk) tena hadi gari ikasimama vizuri sana. Changamoto ni kwenye usajili sijui nanzia wapi.
  11. L

    JamiiForums Tanzania Eneo - Kibamba- Kibwegere, Kiluvya

    Bado sijapata
  12. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini Maduka yaliyopo Mlimani City Mall hayafanyi kazi saa 24?

    Duh hatari sana
Back
Top Bottom