Uzuri mmoja wa uongo ni kwamba lazima ukosee kitu fulani. Wameonyesha kuwa waliwasilisha barua tarehe 13-9-2015! Kumbe ilikuwa Jumapili ambapo ofisi za MCT hazikuwa wazi. Safi sana!
Je ni nani CCM atahamia upinzani tukaridika kuwa sio fisadi? Ni nani yuko upinzani ambaye tunadhani au kuamini kuwa ni mtakatifu? TAFADHALI TUWAUNGE MKONO WOTE WANAOKUJA UPINZANI MAADAM WAMEAMUA KUACHANA NA MFUMO MWOVU.
Kufuatia wagombea wa CCM na UKAWA kila mmoja kudai kuwa "hatatuangusha", ni vema kutumia nafasi hii kuwakumbusha (wagombea hao) kuwa tayari tulianguka siku nyingi tumelala chali. Ndio maana tumepitwa kiuchumi na hata kwa viwango vya kujiamini katika mambo mbalimbali na nchi ambazo siku za...
Nimeshuhudia majuzi nikisafiri kutoka Moro kwenda Arusha ambapo katika Bus la abiria 60 palikuwa na mjadala mkali sana na wachangiaji wakiongea kwa hisia kali.
Kati ya abiria takriban 25 waliokuwa wakichangia/kujadiliana ni watu wawili tu walioonyesha kuipenda CCM. Waliobaki walikuwa...
Wana- CCM wenzangu, tunanyamazia nini?! Kila kukicha watu wanahama kwa mamia kwenda kwa wapinzani wetu. Wiki hii ikipita bila kugutuka wataanza kwenda kwa maelefu, kisha malaki na hatimaye mamilioni. Mwenyekiti wetu, Sekretarieti sote tuamke tuinusuru hali. Tukiendelea kuzubaa kuna tutajikuta...
Arusha yote mwaenda upinzani, CCM imewakosea nini?! Je ni kwamba hakuna zuri lolote lililofanywa na serikali yetu tukufu ya CCM hata mmeamua kufanya uasi mkubwa hivi? Chonde chonde wajameni kama tumewakosea tusameheane, lakini mnachofanya sio (wote kwenda CHADEMA) sio sawa wala haikubaliki hata...
Wana CCM Arusha angalieni chama chetu jamani. Sasa kama wote tutakwenda UKAWA hamuoni kuwa upinzani utakosekana kabisa Arusha na hivyo kuzorotesha maendeleo? Fanyeni angalau kata tatu au nne zichague wana-CCM ili CHADEMA wapate upinzani. Kasi yenu ya kuhamia upinzani (chama tawala kijacho)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.