Kuna wanaume weng wa aina yako nmewah kuwaona yan unamwangalia iv ana kila kitu lakn haoi tuuu..lakn tabia ya kutanguliza pesa sana ktk mahusiano c nzur mwanamke atawaza km uyu ananipa pesa iv labda pesa ndo silaha yake so akimtaka mwanamke yeyote atampata hapo hapo anajenga woga juu yako..mpe...
Umuhim wa spear tyle ndo unaonekanaga hapa sasa 27 ad upate mwanaume mwngne mdate mje kuoana ushafka 30..alafu ur too innocent na hii dunia ya mapenz ilivo innocent people ndo wanaongoza kwa kulia
Duh jmn n juz tu nlikua na boyfrnd kwa miaka mi3 juz tukaenda kukutana tena hotel ya kifahar lakn nashangaa mwenzangu haikusimama kbsa nmefanya kla niwezalo but haikusimama jmn nlishangaa maajabu ya dunia kiukweli nimemuacha mm.
N kweli kbsa unampenda na unapata tabu juu yake na ndio mana kuna mwngne anaolewa mke wa 2 mpk wa 4 n true love...mana mume wa mtu nae bnadam,unaeza umpende hata km hana pesa
Hahahhha nimecheka sn..
Nmekumbuka mm nlivokua nachat na rafk wa boyfrnd wangu akanipa siri kua boyfrnd wng kamtongoza rafk angu ila nisiulize ktu na msg nyingne kbao...af cku nikalewa bf wng akasoma msg zote kwa cm yangu...aliniacha home kamfata bar rafk ake acha amchane kua ana tabia za kikee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.