Recent content by Lafacha

  1. Lafacha

    Tatizo la tumbo kujaa gesi

    Shukran mkuu. Kwa sasa nimekaa sawa
  2. Lafacha

    Tatizo la tumbo kujaa gesi

    Habari wana JamiiForums. Nimekuja mbele yenu kuzungumza na wale wenye tatizo la tumbo kuunguruma, Mimi ni moja wenu na tatizo hili limenisumbua kwa muda sasa lakini hivi karibuni nimepata nafuu kwa kiasi kikubwa. Mwanzo kabisa sikumbuki tatizo la tumbo kuunguruma lilinianzaje, sijui chanzo...
  3. Lafacha

    Makundi bora ya muziki kuwahi kutokea kwenye Bongo Flava

    Watu pori, ukipenda washamba 🤛
  4. Lafacha

    Ni movie gani kali ambayo huwezi kuisahau?

    Hii ni noma mkuu... ila kapoza alikufa kizembe sana aisee
  5. Lafacha

    Tujikumbushe ma Dj's walioinyanyua Bongo Fleva

    Kiss Fm na RFA ndo radio zimetuimbisha sana mziki miaka ya nyuma.
  6. Lafacha

    Tujikumbushie movies zilizotukuza in 80s, 90s & early 2000s

    In the King of the kickboxers- 1991
  7. Lafacha

    Haya maisha sio poa kwakweli

    Kwenye mazishi yako sasa...
  8. Lafacha

    Haya maisha sio poa kwakweli

    😆😆😆😆.. haelewi huyu . Eti anaona kilimo ndo mteremko.
  9. Lafacha

    Haya maisha sio poa kwakweli

    Kabisa mkuu
  10. Lafacha

    Haya maisha sio poa kwakweli

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣..... unakijua kilimo kweli?????
  11. Lafacha

    Haya maisha sio poa kwakweli

    Bado hajafikia iyo stage ya kuumia kiasi hicho
  12. Lafacha

    Haya maisha sio poa kwakweli

    Hela ya kula huenda bado ni mzozo(unategemea mzee) alafu unawaza kutoboa.
  13. Lafacha

    Haya maisha sio poa kwakweli

    watoto wa siku izi mnadanganywa sana na izi mamitandao.... vi short clip vya kipumbavu vinawajaza upepo na kujiona mmechelewa sana... Sasa miaka 24 ni ya mtu kucomplain na kutaka kujiua aisee...
Back
Top Bottom