Watu warefu hujiamini sana (confidence), huwa wasafi na watanashati, humsoma mtu kwanza na hufanya maamuzi baada ya kufikira kwa kina hatukurupuki hovyo..hizi ni baadhi tu according to me!!!! Wengine wataongezea
Nlijua mwanzo tuu..labda hakunizoea nikajpa moyo cku zinavyoenda ata change...but wapii..ni hilo c mtu wa kupokea mabadiliko ghafla..ila ucnambie kwamba niongeze mitatu mingine labda ata change "NO"...enough is enough!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.