Recent content by lady in red10

  1. lady in red10

    Siku hizi simwambii mke wangu asante kwa chakula

    Dah Paulo afadhali Leo umeongea kiswahii nimekuelewa
  2. lady in red10

    Wanawake siku zenu za kuringa ni chache sana

    Mhhh wewe mbn sasa na Paul unaongea nae hvi?so we kila mtu unamchukua ww?
  3. lady in red10

    Wanawake siku zenu za kuringa ni chache sana

    Hahahaha,maneno kuntu yote nishampa lkn naona ww unataka kuniharibia,tulia mwanakwetu
  4. lady in red10

    Wanawake siku zenu za kuringa ni chache sana

    Sawa lkn na ww ndo upunguze unionee huruma mwanamke mwenzio,kah!
  5. lady in red10

    Wanawake siku zenu za kuringa ni chache sana

    Yamekua hayaa?? Mhhh HV ndo kusema kaboon hunioni amaa unajifanya kipofu,tangu Sikh ya kwanza nakwambia nimeku dondokea .huelewi somo ??
  6. lady in red10

    Msiwahukumu wa mapenzi ya jinsia moja: Papa Francis

    Dooh kumbe hua munahukumiwa mkiungama? Naomba nipe elimu katika hili.
  7. lady in red10

    Ushauri: Nimepoteza hisia kwa mke wangu, simtaki tena

    Mhh bora muache Dada wa watu atajipatia mwanaume anae mdeserve uzuri kitu gn jamani.
  8. lady in red10

    Katibu Mkuu wa Wizara anaruhusiwa kupigiwa salute, kukagua Gwaride na kufunga mafunzo ya majeshi?

    Magufuli sio RAIA. Kijeshi yeye ni comender in chief of armed force. Kwa kiswahili ni amiri jeshi mkuuu. Kwa hyo ana mamlaka ya mwisho jeshini. Upon?
  9. lady in red10

    Wasichana: Ngono haimfanyi mwanaume akuache ila tabia

    Hahahahah Evelyn nakupendaa aisee. Majibu yako ni weapons of mass distractions,hahah
  10. lady in red10

    Shoga maarufu mjini Dar apania kumpokonya Jux kutoka kwa Vanessa Mdee

    I know this boy, yaani ni maskitiko. Namjua toka akiwa mtoto mdogo wa miaka mitano. Inastua sana hii hali
  11. lady in red10

    Shoga maarufu mjini Dar apania kumpokonya Jux kutoka kwa Vanessa Mdee

    Its true na mm naona kafanana na lulu
Back
Top Bottom