dawa yao kama wakikuajiri elolink unafanya kama miezi 6 then unafanya mishe na watu wa bank hapo wakutoe kwenye sytem ya elolink ili wasikukate hela kubwa
hata wanaume nao ni kero tu wakijua mwanamke ana kazi wanapiga mizinga ya simu ya blackbery mara i4ne dat iz ushenz mtot wa kiume una miaka 28 huna kazi unamtegemea mwanamke lazima ukimbiwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.