Mimi pia niliacha chuo na sababu ya kuacha ilikuwa nilipata sup mbili na GPA haikuwa nzuri nikaona hata nikifanya mtihani wa sup sitoweza kufikisha GPA inayotakiwa so nikaamua kuacha chuo. Ushauri wangu kwa wanachuo ni mkienda chuo mfate kilichowapeleka muache ulimbukeni, muepuke mahusiano hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.