Recent content by Lady ammy

  1. Lady ammy

    Tuliowahi kuacha Chuo na tuliowahi kushuhudia watu wakiacha Chuo. Tukutane hapa.

    Mimi pia niliacha chuo na sababu ya kuacha ilikuwa nilipata sup mbili na GPA haikuwa nzuri nikaona hata nikifanya mtihani wa sup sitoweza kufikisha GPA inayotakiwa so nikaamua kuacha chuo. Ushauri wangu kwa wanachuo ni mkienda chuo mfate kilichowapeleka muache ulimbukeni, muepuke mahusiano hasa...
  2. Lady ammy

    Naombeni ushauri: nilipo oa x wangu akanicha lakini baada ya kuondoka mke wangu ex ananitaka tena

    Usikute huyo ex wako ndosababu mpaka ya kuachana na mkeo ni mawazo yangu lakini🥺
  3. Lady ammy

    Je, kweli pesa ni bora kuliko elimu?

    Elimu ya maarifa inahitajika hapo bila elimu huwezi kuendesha fedha
  4. Lady ammy

    Je, kweli pesa ni bora kuliko elimu?

    Bila elimu huwezi kupata pesa
  5. Lady ammy

    Rafiki wa Ex wangu ananitongoza

    Huwa nafatilia nasoma tu kureply sio sana
  6. Lady ammy

    Rafiki wa Ex wangu ananitongoza

    Nipo hapa🥺
  7. Lady ammy

    Msaada wa vyuo vinavyotoa kozi fupi za komputa na ada zake

    Habari Wana JF, Ninaomba mnisaidie kwa anayejuwa VYUO VINAVYOTOA SHORT COURSE YA COMPUTER NA ADA ZAKE.
  8. Lady ammy

    Yajue Maisha yalivyo jela

    Pole jaman
Back
Top Bottom