Kitakachobadilika ni bender tu ya chama tawala ila watu watakua walewale isipokua wachache tu maana ukicheki mfano kama chadema asilimia 99 ni darasa la saba na form 4 sas huyo unategemea atamuongoza nan hapo kitakacho fanyika wana ccm watahamia chadema afu waliokua juu kipindi ccm iko...
Kwel kabisa nimagaidi nawanaowatii pia kichwa kisicho na akili nimzigo kwa shingo bado sijaona katika wachangia mada punguzeni mahaba tumieni akili yani mnauza bidhaa ya millioni kwa buku afu mnadai kunafaida ajab sana
Kama unajua we ni mtanzania maskini na muda huu unapanga kuandamana unakoish huna hata debe la unga ndani unaishi kwenye nyumba ya kpanga au bado unagongea msosi kwamama we mi mmbwa kama mbwa wengine tu nahcho unachokusudia kukifanya nimatumizi mabaya ya muda naili usilete madhar kw wenzako...
Chapa shaba mmbwa wote wanaotuletea huo ujinga wanasingizia viongo ili kuficha uvivu wao na uzembe wa kufanya kaz ulosababisha umaskini ama kuwanyima vikubwa wanavyotamani
Kweli kabisa ndugu yangu gen z mwenye akili timamu hawezi kusubiri embe chini ya mnazi lazma atafute mwembe ulipo tufoc foc tu nduguyangu acha watafute jela na kifo wakati anaewadangankakaazake nyumbani na familia yake wapumbavu waandamane wavunjwe miguu afu sisi tutafufute waje navikombe kuombaomba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.