Baada ya kuripotiwa na chanzo kimoja cha habar uko Dodoma. Kwamba baada ya waziri mkuu kutembea mita mia200 kwa miguu ime save mamilioni ya shilingi.
Binafsi hii ni propaganda tu gharama zmeokolewa kwel but sio kwa kiwango hicho
Salami wana jamvi nimesikitika Sana kuona kilicho WA kuta viongozi wa chadema waliokua kwenye kongaamano LA katiba mpya kukamatwaa nakutiwa mbaroni na maafisa wapolisi mkoani mwanza tuna laani kitendo hicho kwani ni kitendo cha ovyoo na cha ajabuu Sana kutokea wakati huuu ambayo nchi inahitaji...
Habarini za muda Wana jamvii Kama kichwaa Cha habari kinavo jieleza hapo juu. Nilikua nahitaji msaada wa mtu anawezaje Kuhama chuo kikuu Fulani kwenda Fulani baada ya semester moja au baada ya kumaliza mwaka wa kwanza wakatii anaenda ya pili afanye transfer.
Kama iko naombeni msaada maana SuA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.