Naombeni ufafanuzi juu ya hii course ya BSc. in Range Management

La-Ranger

Member
Apr 27, 2021
22
13
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu,

Kuna ndugu yangu aliyehitimu kidato cha sita mwaka 2019 lakini kulingana na halii ya uduni wa maisha alishindwa kujiunga ma Elimu ya juu licha ya kwamba katika udahili uliofanywa mwaka huo alichaguliwa chuo Cha Ardhi Bsc. in Environmental Science lakini kwa sababu niliyohitaja hapo juu alishindwa kujiunga na Chuo Kikuu hicho baadaye mwaka uliofuata alichaguliwa tena Chuo Kikuu cha kilimo Morogoro SUA Bachelor of science in Range management.

Na mwaka huo pia Mungu alimsaidia na kupata mkopo wa bodi HESBL na kufanikisha ndoto yake ya kwenda Chuo Kikuu lakini anadai alijiunga SUA kwa lengo la kwenda kubadilisha course maana hiyo hakuipenda alifika na kufanya huo machakato lakini baadae ilikwama kulingana alishawahi kuahirisha masomo safari hi ikawa vigumu kuahirisha masomo pamoja na kwamba course aliyodahiliwa hakuipenda sasa nikaona nilete hili suala humu tusaidiane kwa lengo la kumshauri maana anaonesha kukata tamaa bado na ndio semester ya pili imeenda kuanza Sasa.
 
Nenda kwenye web ya SUA wameeleza kila kitu kuhusu course hiyo, pamoja na sehemu atakayofanyia kazi muhitimu.
 
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu,

Kuna ndugu yangu aliyehitimu kidato cha sita mwaka 2019 lakini kulingana na halii ya uduni wa maisha alishindwa kujiunga ma Elimu ya juu licha ya kwamba katika udahili uliofanywa mwaka huo alichaguliwa chuo Cha Ardhi Bsc. in Environmental Science lakini kwa sababu niliyohitaja hapo juu alishindwa kujiunga na Chuo Kikuu hicho baadaye mwaka uliofuata alichaguliwa tena Chuo Kikuu cha kilimo Morogoro SUA Bachelor of science in Range management.

Na mwaka huo pia Mungu alimsaidia na kupata mkopo wa bodi HESBL na kufanikisha ndoto yake ya kwenda Chuo Kikuu lakini anadai alijiunga SUA kwa lengo la kwenda kubadilisha course maana hiyo hakuipenda alifika na kufanya huo machakato lakini baadae ilikwama kulingana alishawahi kuahirisha masomo safari hi ikawa vigumu kuahirisha masomo pamoja na kwamba course aliyodahiliwa hakuipenda sasa nikaona nilete hili suala humu tusaidiane kwa lengo la kumshauri maana anaonesha kukata tamaa bado na ndio semester ya pili imeenda kuanza Sasa.
Range management ya SUA inahusiana na mambo ya malisho ktk mifugo,jinsi ya kumiliki wanyama ktk eneo huku ukifihadhi mazingira, wanasoma mambo ya GIS,Remote sensing etc
 
Back
Top Bottom